Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
Umejuaje?Yanga haitishwi na timu yoyote huyo Mayele hata mkimsajili hatofanya chochoteee
Mara paap! Ni ukweli.Zilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Nyie naona mna machawa wa kutoshaMnasajiri wastaafu kama kawaida
Unautani na mayeleSisi kama Yanga tunasema Mayele ni ex wetu, kamwe hatusumbui.
Makolo mnachekesha sana.Zilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
π€£π€£π€£π€£ππΏKajaza fomu kwenye simu, labda fomu ya mkopo wa pesa X
ππ€£π€£π€£π€£ππΏ