Mayele kasaini kandarasi ya miaka mitatu, kuitumikia simba msimu ujao

Mayele kasaini kandarasi ya miaka mitatu, kuitumikia simba msimu ujao

Zilizotufikia....

Mayele ni mwekundu.

Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.

unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS

Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE

BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Ni yale² ya Mix-son🤣
 
Zilizotufikia....

Mayele ni mwekundu.

Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.

unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS

Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE

BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Sisi mashabiki wa simba hatumtaki huyo Mayele wenu mfuga majini! Sisi mashabiki lialia wa simba tunamtaka Mwenyekiti wetu Murtaza Mangungu atuletee Caesar Manzoki!

Asipotuletea Manzoki, kwenye uchaguzi mkuu ujao hatumchagui tena. Haiwezekani alituahidi mwenyewe siku ile ya uchaguzi. Sisi mashabiki wa simba tumechoka kudharauliwa na viongozi wetu. 😭
 
Zilizotufikia....

Mayele ni mwekundu.

Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.

unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS

Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE

BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Unaambiwa? Yaani ni kusadikika
 
Back
Top Bottom