Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mnapenda kumsakama Mangungu?mtu hana hata nguvu klabuni,mchawi wa Simba ni Try AgainHivi uchaguzi umekaribia?
Naona mangungu anatafuta kiki ya kampeni
Au April fool day?
Ni yale² ya Mix-son🤣Zilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Sisi mashabiki wa simba hatumtaki huyo Mayele wenu mfuga majini! Sisi mashabiki lialia wa simba tunamtaka Mwenyekiti wetu Murtaza Mangungu atuletee Caesar Manzoki!Zilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
mayele kwa sasa hawezi kucheza tanzania tena
Unaambiwa? Yaani ni kusadikikaZilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Simba sasa hivi ni club ya propaganda.Watu ni waongo sana