sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Ulitaka awe nani kwa ubora kisha tufanye uchambuzi ndugu mchambuziKwa Mayele siwezi nikaweka doubt sana japo doubt lipo
Ila kwa beki bora hapo ndio nimeshangazwa na hizi tuzo.
Dickson Job kwa kipi haswa jamani ebu seriously
Imetumika factor gani kuamua Dickson Job kuwa ndio beki bora?
Unajua maana ya kiungo punda? Huyo Kanute kafananishwa na Putini sababu ya fujo na rafu za hovyo kama mvamizi wa Ukraine.Anarusha mateke kama mcheza kungfuu,matokeo yake kadi na kuifanya timu ikose trophies.Mzamiru yeye anapiga kazi ikitokea kadi ni ajali kazini.Labda tujiulize sifa ya kiungo Bora ni zipi,
Kuna viungo Waka Ajax, Kuna viungo wachezeshaji na Kuna viungo wenye sifa zote mbili.
Mzamiru anaangukia kwenye kundi la viungo wakabaji lakini unaweza kulinganisha uwezo wake na Putin?
Punda ni mnyama anayetumia nguvu nyingi bila akiliUnajua maana ya kiungo punda? Huyo Kanute kafananishwa na Putini sababu ya fujo na rafu za hovyo kama mvamizi wa Ukraine.Anarusha mateke kama mcheza kungfuu,matokeo yake kadi na kuifanya timu ikose trophies.Mzamiru yeye anapiga kazi ikitokea kadi ni ajali kazini.
LameRekodi bila kombe ,bila medali ,bila chochote ni sawa na mwanamke anayejipiga na dilido
inonga kacheza position/role ngap za ubeki kwenye pitch ukifanananisha na alizocheza dickson NBCPLKwanza unatakiwa ujue when it comes to best defender award huwa hatuangalii beki wa upande gani
Bali linaangaliwa eneo lote la beki na kuchagua ni yupi kati yao alikuwa na stats nzuri.