Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
π© Mayele ndiye alitewapa ubingwa As Vita club msimu uliopita kwa kufunga magoli (14) kwenye ligi, alizidiwa goli moja tu na Jean Baleke wa Tp Mazembe (15).
01. β½ v DTB football club.
02. β½ + π― v Friends Rangers.
03. β½ v Pan African football club.
04. β½ v DTB football club.
05. β½ v Simba sports club.
06. β½ β v Geita gold.
07. β½ v JKU football club.
08. β½ + π― v KMC football club.
09. β½ v Azam football club.
10. β½ v Mbeya Kwanza.
11. β½ v Biashara Utd.
12. β½ v Dodoma jiji.
13. β½ v Coastal union.
14. π― v Polisi Tanzania
15. β½ v Mbao fc
Note ; Mayele tangu atue Yanga ameshafunga jumla ya magoli (β½14) na assists (π―3) kwenye michezo yote (17) aliyoanza kikosini π
π 17 = Michezo aliyoanza.
β½ 17 = Magoli aliyohusika.
π Kwa hiyo kuhusu kufunga tu kwa huyu jamaa haijawahi kuwa tatizo kwake,, ni Mshambuliaji wa kisasa anayeweza kufunga kwa kila nyenzo.
β Free kick ; Naona Yanga hawajajua kuhusu obora wake wa kufunga kupitia mipira iliyokufa,, kafunga sana Dr Congo π¨π©
β Header ; Kwa kichwa.
β Left foot & right foo.
π Tom cruz
01. β½ v DTB football club.
02. β½ + π― v Friends Rangers.
03. β½ v Pan African football club.
04. β½ v DTB football club.
05. β½ v Simba sports club.
06. β½ β v Geita gold.
07. β½ v JKU football club.
08. β½ + π― v KMC football club.
09. β½ v Azam football club.
10. β½ v Mbeya Kwanza.
11. β½ v Biashara Utd.
12. β½ v Dodoma jiji.
13. β½ v Coastal union.
14. π― v Polisi Tanzania
15. β½ v Mbao fc
Note ; Mayele tangu atue Yanga ameshafunga jumla ya magoli (β½14) na assists (π―3) kwenye michezo yote (17) aliyoanza kikosini π
π 17 = Michezo aliyoanza.
β½ 17 = Magoli aliyohusika.
π Kwa hiyo kuhusu kufunga tu kwa huyu jamaa haijawahi kuwa tatizo kwake,, ni Mshambuliaji wa kisasa anayeweza kufunga kwa kila nyenzo.
β Free kick ; Naona Yanga hawajajua kuhusu obora wake wa kufunga kupitia mipira iliyokufa,, kafunga sana Dr Congo π¨π©
β Header ; Kwa kichwa.
β Left foot & right foo.
π Tom cruz