Sawa. Kumbe ni cas ndie aliewapa ubingwa, sikujua hilo mkuu.Mkuu wewe ndo hujui,alipokwa ubingwa akakata rufaa cas akashinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Kumbe ni cas ndie aliewapa ubingwa, sikujua hilo mkuu.Mkuu wewe ndo hujui,alipokwa ubingwa akakata rufaa cas akashinda.
Huna akili makato weweSawa. Kumbe ni cas ndie aliewapa ubingwa, sikujua hilo mkuu.
Sawa shabiki maandazi.Huna akili makato wewe
Siyo cas,elewa mkuu walipokwa kijanja tu point zao 3.Sawa. Kumbe ni cas ndie aliewapa ubingwa, sikujua hilo mkuu.
Uyu Mayele ni wa kumchukua kimafia kama BM,si eti mtani?Ni wewe na XII Tz ndio wanamsimbazi pekee mnaokubali ukweli huu
Ssivi mtatafuta makubwa zaidi ya kwenda CAS atapigwa msumari Mayele mwenyewe mpaka mtamkataa.Uyu Mayele ni wa kumchukua kimafia kama BM,si eti mtani?
D😀😀😀Ssivi mtatafuta makubwa zaidi ya kwenda CAS atapigwa msumari Mayele mwenyewe mpaka mtamkataa.
Usiwe na ubishiSawa. Kumbe ni cas ndie aliewapa ubingwa, sikujua hilo mkuu.
Mbeya city alikuwa bingwa akafuatiwa na Kagera sugarMsidanganyane, As vita sio bingwa wa msimu uliopita.
Ndiomaana rage aliwaita mbumbumbu sasa bingwa wa msimu uliopita congo ni nani?Una uhakika As vita ni mabingwa wa msimu uliopita? Wadanganye utopolo wenzio.
Ubingwa wa kupewa na cas utopolo mnajivunia.Ndiomaana rage aliwaita mbumbumbu sasa bingwa wa msimu uliopita congo ni nani?
We Jamaa Kweli Ni Pampula.Una uhakika As vita ni mabingwa wa msimu uliopita? Wadanganye utopolo wenzio.
Kama mama yako.We Jamaa Kweli Ni Pampula.
Una akili timamu?Thibitisha kama As vita ni bingwa wa msimu uliopita la sivyo wewe ni shabiki maandazi.