Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Fwedha Fwedha au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni impact ya feisal saga mkuu,Kuna njia mbili kwa utopolo. Kupunguza mishahara ya wachezaji wengine na ya wafanyakazi Ili kumuongezea mayele mshahara au kumuuza wapate hela za kusajili wachezaji wengine.
Na umri wake ndiyo kipindi cha kucheza mpira wa manufaa, sio kutetema huku unalipwa senti chache! Anngalia Wimbi la nyota wanaoenda huko uarabuni, unadhani wamekosa timu Ulaya?..hapana.Kabisa mkuu....wao wenyewe wasingeweza,
Na nyie si mpeleke maombi ya kumsajili kule as vita 🤣Na ndio maana mnahangaika kumsajiri sasa hivi,kwa maana kwamba hana mkataba na uto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchukueni sasa atawasaidia sana 🤣Kamaliza mkataba yupo huru ni Frii ajenti
Zile bilioni na chenji zikowapi? tuliwaambia mizania ya hesabu haiko sawaKama inavyofahamika kuwa Fiston Kalala Mayele ndio key player wa yanga kwa sasa na ndio siri ya mafanikio waliyoyapata msimu ulioisha.
Hali hiyo imepelekea kupanda kwa thamani na kuwa bidhaa inayosakwa sokoni na vilabu vingi vya soka barani Afrika kwa sasa.
Kitendo hiko kimemfanya kuwadengulia yanga kusaini mkataba akidemand pesa ndefu ambazo yanga wanahaha usiku na mchana kumbembeleza aweze kushusha kiwango hicho....
Hii imepelekea uongozi wa yanga kuwa bize 24/7 kuhakikisha huyu mwamba wanabaki nae ,hali hii imefanya shughuli nyingine kusimama kwa muda ikiwemo suala la usajili na utambulisho wa wachezaji....
Majuzi walisema wanashusha mtu saa 9usiku ,cha kushangaza wakaleta habari za Mwanasheria wao kupewa nafasi FIFA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa ufupi uongozi umetingwa kwelikweli na washabiki hawaelewi wanavyoona vyuma vinazidi kutambulishwa huko Lunyasi[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wakifanikiwa kumpata Mayele ndio usajili wao mpya na watamtangaza saa 8 usiku muda ambao majini yanarudi baharini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wachezaji wazuri wanawataka ila ndio hivyo fwedha,fwedha wanataka wabaki na kachenji kakununulia mechi na marefa[emoji23]View attachment 2682994View attachment 2682995View attachment 2682993
Kama tulivyokubaliana kwa Jean Baleke..Si tulikubaliana mayele yupo kwa mkopo ni mchezaji wa as vita lakini [emoji1787]