Mayele ni msaliti, anashiriki kuidondosha Yanga SC, huyu ni mhaini

Kuna njia mbili kwa utopolo. Kupunguza mishahara ya wachezaji wengine na ya wafanyakazi Ili kumuongezea mayele mshahara au kumuuza wapate hela za kusajili wachezaji wengine.
Hii ni impact ya feisal saga mkuu,

Kumbuka anayemsimamia Mayele ndio huyohuyo anayemsimamia Feisal , mama Jasmine Razak...[emoji23]
Waliburuzana sana kipindi wanatafuta suluhu ya Fei,leo wameyakanyaga wawe wapole GOES AROUND,COMES AROUND...Huyu mama atawatoa nyongo
 
Tatizo wanachanganya kazi na ushabiki
 
Si tulikubaliana mayele yupo kwa mkopo ni mchezaji wa as vita lakini 🤣
 
Si tulikubaliana mayele yupo kwa mkopo ni mchezaji wa as vita lakini [emoji1787]
Na ndio maana mnahangaika kumsajiri sasa hivi,kwa maana kwamba hana mkataba na uto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na umri wake ndiyo kipindi cha kucheza mpira wa manufaa, sio kutetema huku unalipwa senti chache! Anngalia Wimbi la nyota wanaoenda huko uarabuni, unadhani wamekosa timu Ulaya?..hapana.
Kabisa
 
Na ndio maana mnahangaika kumsajiri sasa hivi,kwa maana kwamba hana mkataba na uto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nyie si mpeleke maombi ya kumsajili kule as vita 🤣
 
Mayele out
Baleke in
Taabu iko pale pale
 
Inaumaaa...mnyama anajiandaa na Super cup...
 
Zile bilioni na chenji zikowapi? tuliwaambia mizania ya hesabu haiko sawa
 
...…Wakongo tunapenda pesa...Mayele
 
Nilikuwa mtu wa kwanza kusema kuwa Mayele yupo pale kwa mkopo, ndiyo maana unaona mvutano huu unaendelea pale. Kinachomuweka mpaka sasa ni kwa sababu tu Wakala wake hataki kuharibu mahusiano yake na Yanga ambapo anao wachezaji wengine na anataka wasimsusie kuchukua wachezaji wake wengine siku za mbele. Bila hivyo Mayele angekuwa kashasepa kwenda huko Uarabuni. Bila kuongeza mkwanja wa maana, mwana anatimka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…