Mayele ni Straika haswa

Mayele ni Straika haswa

Tangu masele atue yanga amecheza mechi Saba tu za kimashindano lakini ana jina kubwa sana hapo Tz ambalo hastahili kuwa nalo kulingana na stats. Na hapa ndipo uzuzu wa hawa ndugu zetu unapoonekana.
Muulize Inonga na Onyango walivyofurahi Mayele kutoka, ilikuwa ahueni kwao.
 
Mayele ameachwa mbali sana na dube,lyanga dani na green
 
Mayele kanifurahisha sana leo
Ukiangalia harahati zake uwanjani na namna alivyokuwa akiwaweka roho juu walinzi wa kati wa Simba, ni wazi kuwa Mayele ni mshambuliaji hatari na pengine kwa sasa hakuna kama yeye kwa timu zote -- Simba na Yanga.

Ongezea/punguza/sema ukijuacho, usitukane
 
kuna vitu ma striker wazawa wanapaswa kujifunza kutoka kwa mayele
 
Back
Top Bottom