Huo uhakika kuwa wamemuuza kwa idhini ya Yanga ndio unahitajika sasa... so kama ingekuwa yupo kwa mkopo wasingesita kumuuza bila izini ya Yanga.
Sababu alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na Yanga,mwenye maamuzi ya mwisho ni Yanga. Nilisikia tetesi Pyramid walikuja Tz wao wenyewe kuongea na Yanga.Huo uhakika kuwa wamemuuza kwa idhini ya Yanga ndio unahitajika sasa
Dunia ya sasa danganya uumbuke. Vina muda basii. Huyo meneja wake hajawahi kusema kuna ofa imepelekwa YangaLini ulitamani usikie habari nzuri za Yanga okay hatujaripwa. Ila haibadilishi ukweli kama tumelipwa na kama hujui wakili wa Fei ndio meneja wa Mayele, so kama ingekuwa yupo kwa mkopo wasingesita kumuuza bila izini ya Yanga.
Hela ya kumnunua hawanaSaido hawajamuona? mechi moja goli 5
siku hizo $400,000 inabadilishwa kwa 2.8 billion hongera sanaYanga mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe. Mchezaji wa mkopo halafu mnadai mmeingiza bilioni 2, tunawazoom tu
Avumapo papa baharini...Utopolo the end of eraaa.80%ya mafanikio ya ndugu zetu hawa alikua ni mayele.asipokuwepo mayele feisal ndio alikua anawabeba.now kwishney
Ila ingependeza wazawa nao wajitume wanunuliwe kama hao wageni, maana wamekuja na kuondoka wao wapo tu ,hapa hapaKama ni kweli ni biashara nzuri sana.
Saidoo mchezaji mkubwa 😂Saido tayari yupo timu kubwa, hawezi kuondoka. Wachezaji wakubwa hawawezi kukaa katika timu ndogo ndogo, watalazimisha waondoke tu
975,952,400/=siku hizo $400,000 inabadilishwa kwa 2.8 billion hongera sana
Mkopo wa miaka mingapi mkuu?Yanga mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe. Mchezaji wa mkopo halafu mnadai mmeingiza bilioni 2, tunawazoom tu
Tupe thamani ya saido sokoni kwa sasa bwana mbumbumbu!Saido tayari yupo timu kubwa, hawezi kuondoka. Wachezaji wakubwa hawawezi kukaa katika timu ndogo ndogo, watalazimisha waondoke tu
Thamani hufanyika anapokuwa katika timu ndogo. Timu kubwa huwa hazihangaiki kutafuta thamani za wachezajiTupe thamani ya saido sokoni kwa sasa bwana mbumbumbu!
Sasa kipi kimedanganywa kama mkataba wa mwaka mmoja mbona yy mwenyewe ashawahi kuzungumza anamkataba wa mwaka mmoja na Yanga.Dunia ya sasa danganya uumbuke. Vina muda basii. Huyo meneja wake hajawahi kusema kuna ofa imepelekwa Yanga
Wazawa wazee wa kurizika.Ila ingependeza wazawa nao wajitume wanunuliwe kama hao wageni, maana wamekuja na kuondoka wao wapo tu ,hapa hapa