NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
F
FUmbua.Wapi nimemtaja makambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FUmbua.Wapi nimemtaja makambo
Kwa sasa mtajifariji sana. Ila nisikufiche kuandoka kwa Mayele kazi bado mnayo maana kwa usajili unaofanyika sijui mtajifichia wapi?Mayele alivyoona usajili wa Simba ulivyo mkubwa ameamua kutupa taulo mapema kuepusha lawama maana stori ya wananchi alishawahi kuambiwa kuwa hawa watu ni wepesi mno kusahau
Simba ni dunia tosha. Yanga dunia yake ni PyramidsSasa mbona haonekani huko duniani
Maana hatujasikia hata tetesi ya kuuliziwa
Alikuwepo na Yanga akabugia 2-0Bora aende Ili Simba wapumue
Nani hao, Mkude na Kibabage?Kwa sasa mtajifariji sana. Ila nisikufiche kuandoka kwa Mayele kazi bado mnayo maana kwa usajili unaofanyika sijui mtajifichia wapi?