Mayele vs Ntibazonkiza ni Mshambuliaji vs Kiungo

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,778
Reaction score
4,859
Kazi kubwa ya foward no.9 ni kufunga kufunga kufunga ikitokea kakosea anatoa mapande ila kazi kubwa ya kiungo mshambuliaji yaani midfield ni kugawa mapande na kupika magoli kufunga ni ziada.

Sasa mshambuliaji vs Kiungo wakilingana idadi ya magoli ni nani atastahili kupewa? Utajaza.

Bodi ya ligi ya kibongo itaamua hili kwa siasa, as long as ni simba vs yanga hapa itasagwa na zitatembea mwisho wa siku wataleverage kuwa wote wagawane kiatu.

Ni ujuha eti kifungu cha kanuni kiko silence hadi wategemee FIFA ama CAF ambao nao wana uamuzi tofauti.

Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza.
 
Akiwa anapewa pasi tayari watu watatu wapo pembeni yake kuhakikisha haendi popote na mpira (Huyu mayele) vs akiwa na mpira ama anapewa pasi yupo peke yake, na anaangalia uwezekano wa kutoa pasi kwa mshambuliaji ama kiungo mwengine ili atengewe ashinde (Huyu ni saidoo)

Anayekabwa na kuogopwa asiscore vs Anayekuwa free na mpira na kuangalia afungie upande gani
 
"Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza."
Sawa nchi inauzwa hii endeleeni tu kubishana...
 
"Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza."
Sawa nchi inauzwa hii endeleeni tu kubishana...
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji23]
 
Assist hazijawahi kuwa gori, tuzo n ya mfungaji bora Wala sio ya mtoa assist.
Makolokolo yanajaza seva tu JF, yani hata uyawekee sheria za TFF bado ni matukutu kama mawe ya baharini yanapigwa na mawimbi kutwa ila hayatakati.

Mudi legeza kidogo Makolokolo yamekaribia kuwehuka maana 2022 yalishangilia kombe la kiatu cha mfungaji bora Mpole, yanateseka kuona 2023 yule yule wasiyempenda "F Mayele" anaendelea kutetema na kuwania kiatu cha mfungaji bora wa NBC PL 2023 ilihali Mipang'ang'a haina kombe lolote [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Acha kelele wewe pang'ang'a la kitopolo subirini Kiatu kiende kwa mwenyewe...Ntibazonkiza...utashindwaje striker na kiungo?? Yani mnalinganaje magoli.. 😆 😆
 
Assist hazijawahi kuwa gori, tuzo n ya mfungaji bora Wala sio ya mtoa assist.
Mkuu ikitokea wamelingana magoli kama ilivyo kwa hao miamba wawili we utatumia kigezo kipi kumpata mfungaji bora? Hiyo ndiyo hoja ya msingi , ebu sasa toa ushauri nini kifanyike.
 
Mkuu ikitokea wamelingana magoli kama ilivyo kwa hao miamba wawili we utatumia kigezo kipi kumpata mfungaji bora? Hiyo ndiyo hoja ya msingi , ebu sasa toa ushauri nini kifanyike.
Kanuni hazi tambui assist wana angalia magoli ya open play
 
Mkuu ikitokea wamelingana magoli kama ilivyo kwa hao miamba wawili we utatumia kigezo kipi kumpata mfungaji bora? Hiyo ndiyo hoja ya msingi , ebu sasa toa ushauri nini kifanyike.
Wote ni wafungaji wa magoli sawa hivyo kwakuwa Tff na kanuni zao hazihaweka bayana nini kifanyike njia pekee ni wote wape haki yao kwa usawa.
Unawezaje kuhusisha assist kwenye suala la ufungaji Bora? Kinachohesabiwa hapa n magori yaliyofungwa na sio assist, unawezaje kumuondolea magori ya penati wakati yamefungwa ndani ya dk 90?, Unawezaje kuhesabu ati fulani kacheza au kutokucheza mechi au dk nyingi? Kama alipata majeruhi?, Kama hakuwa sehemu ya mipango ya kocha kwa mechi kadhaa?.
Saido ana gori 17 sawa na mayele hivyo wote wapewe haki yao kila mmoja kapambana kwa jasho lake, nje ya hapo nikutafuta siasa na upendeleo usiokuwa na tija.
BTW, huu ni udhaifu wa ajabu Sana kwa tff pamoja na kamati ya utoaji wa tuzo, hili Jambo sio Mara ya kwanza walipaswa kuja na kanuni/utartibu utakaoondoa sintofahamu hii. Wanaachaje suala la kanuni liamliwe kwa mlengo wa uyanga na usimba?, Tushukuru imetokea kwa Simba na Yanga Ila ingekuwa ni yanga au Simba na mchezaji wa timu nyingine kusingekuwa na hii sintofahamu.
 
Acha kelele wewe pang'ang'a la kitopolo subirini Kiatu kiende kwa mwenyewe...Ntibazonkiza...utashindwaje striker na kiungo?? Yani mnalinganaje magoli.. 😆 😆
Wewe nae kisimbuzi huwa kinakuwasha kweli!! Ko Sarah, son walikuwa ni strikers?.
 
Duh,ndio maana bandari inauzwa
 
"Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza."
Sawa nchi inauzwa hii endeleeni tu kubishana...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Think twice, umeshasema kiungo mshambuliaji means anakazi ya kushambulia yaani kufunga na kusambaza mipira yaani kiungo kwahiyo kufikisha hiyo Idadi ni sawa ndomana Messi na Ronaldo wanafunga Sana sababu ni viungo washambuliaji ambalo moja ya jukumu lao ni kufunga
 
Kwa NINI mnataka taratibu zibadilike leo na siku zote TFF walishafafanua??

Why mnaendeshwa na Hisia,

Utaratibu si ulishawekwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…