Hili lipo wazi Sana! Tunajadili mfungaji bora, kinachotakiwa kuangaliwa ni magoli aliyofunga muhusika! Assist sio goli iweje iwekwe kama kigezo Cha kumpata mfungaji bora? Kinachoangaliwa ni magoli mangapi yamefungwa, kama yanalingana basi tuangalie namna gani hayo magoli yamefungwa! Mwenye magoli mengi ya penati yasiyo ya penati apewe kiatu. Kama hapa pia watalingana basi tuangalie mechi walizocheza Hadi kufikia hiyo idadi!