Uko sahihi au hata Azam basi maana kwa viungo wa Azam angeshine ila kwenda Kongo alipotea sanaIle safari ya mpole kutoka geita kuelekea Congo haikuwa sahihi kabisa ni bora angeenda hata hizi team za kariako maana zimukuwa zinamhitaji sana kipindi kile
Arikulupuka sana na washauli wake hwakuwa smartUko sahihi au hata Azam basi maana kwa viungo wa Azam angeshine ila kwenda Kongo alipotea sana