Mayonnaise ni nini?

Mayonnaise ni nini?

Ila ni tamu hiyo, nikiweka kwenye mkate namaliza mfuko
Raha ya mkate upake blue band then jam halafu mwagia *mayonnaise* kama unatengeneza sandwich vilee
Dah!
Hii kitu kutembea kwangu kote Tz na nchi za mbali sikuwahi kuipenda katu.
Au kwa kuwa sili mayai....yaani nikikuta chips ina mayonnaise, niko radhi nioshe chipsi moja moja na maji ndio nile lau nisile tu
 
Mayonnaise ni hatari sana kwa wanaotaka kupunguza mafuta mwilini, ni mbaya acha usijaribi, wiki ndefu, kitambo hichooooooo
 
Dah!
Hii kitu kutembea kwangu kote Tz na nchi za mbali sikuwahi kuipenda katu.
Au kwa kuwa sili mayai....yaani nikikuta chips ina mayonnaise, niko radhi nioshe chipsi moja moja na maji ndio nile lau nisile tu
Duh Pole ni tamu mi naipenda
 
Duh Pole ni tamu mi naipenda
Kweli kila mtu na choice yake.
Hata kuku, nyama, samaki sijui pweza ukisham-marinate na viungo tu, sili kabisa hiyo nyama japo mie kuwamarinate ili wenzangu wale naweza.
Nataka nyama ikitoka kuoshwa tu, iwekwe chumvi tu ndo ikaangwe, mambo ya sijui ndimu au thomu au tangawizi au sijui masala...hapana kabisa, tena naweza tapikia hukoooooo, sijuu nina nini ni tangu udogo wangu.
 
Inatengenezwa kwa mafuta ya kupikia..olive oil au mafuta ya alizeti double refined, mayai mabichi, vinegar na mustard!
.
.
Haipikwi. Kila kitu kibichi!
Basi mimi siku zote nikifikiri mayonnaise ina mtindi.

Nikataka kukubishia.

Mpaka nikamuuliza Bi. Zuhra hapa (mtaalamu wangu wa mapishi) ananiambia haina mtindi ni mayai na mafuta tu.

Fani za watu hizi.

Basic Mayonnaise
 
Back
Top Bottom