Mayowe ni ya nini kwenye mapenzi, kwani hakuna namna ya kufurahia kimyakimya?

Mayowe ni ya nini kwenye mapenzi, kwani hakuna namna ya kufurahia kimyakimya?

Kwani hakuna namna ya kuenjoy silently ndrugu zangu?

Mayowe ya nini sasa kama tumevamiwa na majambazi au kuna ugomvi?

Hembu gugumia utamu kistaarabu tu my friends, ladies and gentlemen.

Huo sio ungwana kabisa yaani, mnatisha watu na kukosesha wengine amani hata kama sio drama

Punguza mayowe tafadhali mbona barabara nyeupe tu haina resistance wala jam yoyote aise?🐒
sikia kila mtu kaumbwa vyake,kuna wapiga kelele,kuna waojamba na kuna ambao huwa wanakunya kabisa kwa raha
 
Back
Top Bottom