incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Wakuu nadhani kwa wenye kumbukumbu za huyu dogo anaitwa Mayunga aliwahi kushinda shindano la Africa nadhani ilikuwa Project fulan hivi siikumbuki vizuri, ila alivyoshinda alibahatika kufanya Ngoma na msanii Akon chin ya Marvin music, cha kushangaza na kilichouma zaidi siku ya fainali dogo anachukua kijiti alipokea taarifa ya Msiba wa Mama yake Mzazi,
Kusema kweli huyu Bwana mdogo ingefaa awe miongoni mwa wasanii wakubwa Tz, maana alibahatika kufanya ngoma msanii mkubwa Akon ngoma inaitwa Don't go Away, na alishoot video na video vixen ambae alishawahi kufanya kazi na star mkubwa Duniani Chriss Brown (Breeze).
Chakushangaza huyu bwana mdogo licha ya kula shavu nono na kutegemea tutaendelea kumuona anafanya vizuri ila cha ajabu huyu Bwana mdogo amebaki tu akionekana anakula Bata sana na hana Hit song yoyote ila anaonekana ni mtu yuko vzuri sana kimaisha,
Ila mwanzoni kipind anashiriki hili shindano alikuwa anaonekaa mganga njaa hata picha za marehem mama yake mzazi aliefariki siku ya fainali ukimuangalia unagundua kabisa hakuwa mama mwenye maisha ambayo sasa kijana wake anaishi.
Hapa ninachojiuliza ni kwamba dogo alivuta mkwanja wa maana kwenye shindano ndio maana anaonekana akila bata au anaishi katika mziki na anapiga show huku mjini zinazomuingizia pesa
Kusema kweli huyu Bwana mdogo ingefaa awe miongoni mwa wasanii wakubwa Tz, maana alibahatika kufanya ngoma msanii mkubwa Akon ngoma inaitwa Don't go Away, na alishoot video na video vixen ambae alishawahi kufanya kazi na star mkubwa Duniani Chriss Brown (Breeze).
Chakushangaza huyu bwana mdogo licha ya kula shavu nono na kutegemea tutaendelea kumuona anafanya vizuri ila cha ajabu huyu Bwana mdogo amebaki tu akionekana anakula Bata sana na hana Hit song yoyote ila anaonekana ni mtu yuko vzuri sana kimaisha,
Ila mwanzoni kipind anashiriki hili shindano alikuwa anaonekaa mganga njaa hata picha za marehem mama yake mzazi aliefariki siku ya fainali ukimuangalia unagundua kabisa hakuwa mama mwenye maisha ambayo sasa kijana wake anaishi.
Hapa ninachojiuliza ni kwamba dogo alivuta mkwanja wa maana kwenye shindano ndio maana anaonekana akila bata au anaishi katika mziki na anapiga show huku mjini zinazomuingizia pesa