Hacktivist
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 249
- 86
Mayweather ameendelea kuhidhirisha ubabe wake baada ya kumpiga McGregor kwa T.K.O katika round ya kumi........
Round 1:McGregor anarusha ngumi kwa kasi na kumpeleka Mayweather kwenye
kamba na mpaka mwisho wa round hii McGregor anaoongoza kwa points
Round 2:McGregor anapewa onyo kwa kumpiga Mayweather kichwani upande wa
nyuma kitu ambacho hakiruhusiwi kwenye boxing...
Round 3:McGregor anaendeleza ubabe wa kurusha ngumi na kujipatia points nyingi
kuliko mayweather na roundi hii pia anaonekana kuongoza...
Round 4:Mayweather anaonekana akirejea kwenye fomu baada ya kurusha na kumpa-
ta mpinzani wake hivyo kupata points zaidi ukilinganisha na round zilizopita
Round 5:McGregor anaonekana kaanza kuchoka maana speed yake imepungua..na
anaonekana kuishiwa pumzi na Mayweather anatumia vizuri mapungufu
hayo......
Round 6:Mayweather sasa anakuja kwa kasi ya ajabu..na kurusha makombora yanayo
mpata McGregor ambae anaonekana kuchoka ..maana round hii Mayweather
ana-Attack tu ...mashabiki wanajribu kupiga kelele ili kuamsha morali kwa
McGregor lakini bado McGregor anaonekana kushindwa...
Round 7:Mayweather anaendeleza mashambulizi yake kwa kasi kama kawaida...
Round 8:Mayweather kammiliki kabisa mpinzani wake ambae anaonekana kuchoka
Round 9:Hapa kila mtazamaji naona anaona kabisa jinsi McGregor alivyochoka
na kila mtu anawasiwasi kama McGregor atamaliza round zote...
Round 10:Mayweather anarusha makombora mengi bila McGregor kujibu na anao-
nekana kuzidiwa kabisaa ndipo refa anapoamua kuingilia kati na kuamua
pambano liishe..
Mayweather aendeleza rekodi yake ya kutokupigwa yaani (50-0)....
Round 1:McGregor anarusha ngumi kwa kasi na kumpeleka Mayweather kwenye
kamba na mpaka mwisho wa round hii McGregor anaoongoza kwa points
Round 2:McGregor anapewa onyo kwa kumpiga Mayweather kichwani upande wa
nyuma kitu ambacho hakiruhusiwi kwenye boxing...
Round 3:McGregor anaendeleza ubabe wa kurusha ngumi na kujipatia points nyingi
kuliko mayweather na roundi hii pia anaonekana kuongoza...
Round 4:Mayweather anaonekana akirejea kwenye fomu baada ya kurusha na kumpa-
ta mpinzani wake hivyo kupata points zaidi ukilinganisha na round zilizopita
Round 5:McGregor anaonekana kaanza kuchoka maana speed yake imepungua..na
anaonekana kuishiwa pumzi na Mayweather anatumia vizuri mapungufu
hayo......
Round 6:Mayweather sasa anakuja kwa kasi ya ajabu..na kurusha makombora yanayo
mpata McGregor ambae anaonekana kuchoka ..maana round hii Mayweather
ana-Attack tu ...mashabiki wanajribu kupiga kelele ili kuamsha morali kwa
McGregor lakini bado McGregor anaonekana kushindwa...
Round 7:Mayweather anaendeleza mashambulizi yake kwa kasi kama kawaida...
Round 8:Mayweather kammiliki kabisa mpinzani wake ambae anaonekana kuchoka
Round 9:Hapa kila mtazamaji naona anaona kabisa jinsi McGregor alivyochoka
na kila mtu anawasiwasi kama McGregor atamaliza round zote...
Round 10:Mayweather anarusha makombora mengi bila McGregor kujibu na anao-
nekana kuzidiwa kabisaa ndipo refa anapoamua kuingilia kati na kuamua
pambano liishe..
Mayweather aendeleza rekodi yake ya kutokupigwa yaani (50-0)....