real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wamekutana tena, mara hii wakikutana New York, ambapo tambo na majigambo vilichukua nafasi baina yao huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi katika pambano lao litakalopigwa August 26.
Moja ya matukio yaliyovuta hisia za mashabiki wao ni kitendo cha Mayweather kumtupia mpinzani wake McGregor kiasi kikubwa cha fedha.
Pambano la Conor McGregor vs Floyd Mayweather litapigwa 26 August, T-Mobile Arena, Las Vegas, Marekani
Chanzo: Millard Ayo