Mayweather atalipwa zaidi ya Tsh billion 20 na million 698 kupigana na Tenshin Nashikawa Leo tar 31/12/2018

Rk10

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
1,216
Reaction score
1,372
Mayweather atalipwa zaidi ya Tsh billion 20 na million 698 kupigana na Tenshin Nashikawa Leo tar 31/12/2018.
Pambano hili litatumia dakika 9 tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waandaaji hawapo fair yaan dogo wa miaka 20 azipige na Mayweather wa 41??
Dogo nae atakuja kufa...
Dkk 2 tu kala KO.
 
huyo dogo jinsi alivyokaa kiboya boya hata mimi ningemchakaza
 
Hakyanani, af mi niko hapa nahaha na ada ya 3m
nyeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…