Mayweather hutumia mamilioni kubadilisha oil ya gari yake

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Yaani ukitaka kumiliki vitu vizuri basi lazima ujipange kuvitunza na hii inadhihirishwa na Mwanamasumbwi, Floyd Mayweather ambaye ni moja ya wanamichezo wanaomiliki magari ya kifahari duniani.


Kwa mujibu wa mtu wa karibu anayemuuzia magari ya kifahari Mayweather aitwaye Obi Okeke kupitia mtandao wa TMZ amesema Mayweather anatumia dola $25,000 ambayo ni sawa na Tsh milioni 56 kila mwezi kubadilisha oil ya gari lake moja aina ya Bugatti Veyron.

Okeke amesema gari hiyo ambayo ndio gari yake ya thamani zaidi amelinunua kwa Dola milioni 3.3 sawa na Tsh bilioni 7 .

Mwezi Januari mwaka huu Mayweather alitumia zaidi ya milioni 100 kufanyia matengenezo Bugatti yake.
 
Ndio akili za kiafrika.
Angekua bilgates ni mtu mweusi nadhani hata kuja Tanzania asingekuja. Watu weusi tuna matatizo ya akili na IQ ndogo.

Mtu mweusi akipata pesa anafikiria starehe na umaarufu, bilgates hatujawahi kusikia anafanya huo ujinga
 
MARA NYINGI MATUMIZI YA HIVI HUWA NA MWISHO MBAYA KWA MHUSIKA.SIDHANI KAMA BILL GATES ANAFANYA HAYA.
AFU ANASAHAU KUWA KUWA UZEE AMBAPO HATAWEZA KUPANDA ULINGONI TENA.
Kwani Ulikuwa unamsaidia Kupigana Ulingoni.. mwache Ale Vya Kwake na Wewe tafuta Vyako
 
Me nadhani black america wengi. Ni washamba ushamba wa mtu uko kwenye damu sio sehemu anayoishi washamba wapo kila engo ya dunia
Floyd ni mshamba tu akili ya kimaskini amepata pesa anataka dunia ijue kwamba yeye anazo
Mkuu naomba kama una specification za Bugatti niwekee hapa
 


Hivi na Billgate anamatumizi kama yake..?
 
Ndio akili za kiafrika.
Angekua bilgates ni mtu mweusi nadhani hata kuja Tanzania asingekuja. Watu weusi tuna matatizo ya akili na IQ ndogo.

Mtu mweusi akipata pesa anafikiria starehe na umaarufu, bilgates hatujawahi kusikia anafanya huo ujinga
Black America wana kamsemo kamoja kakidwanzi sana nilimsikiaga Kanye west akikasema kwenye wimbo fulani.Juzijuzi nimewasikia Migos wakikatumia tena kanasema

"White people they get money but they don't know how to spend it"

Ngozi nyeusi ina shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…