Mayweather hutumia mamilioni kubadilisha oil ya gari yake

Mayweather hutumia mamilioni kubadilisha oil ya gari yake

MARA NYINGI MATUMIZI YA HIVI HUWA NA MWISHO MBAYA KWA MHUSIKA.SIDHANI KAMA BILL GATES ANAFANYA HAYA.
AFU ANASAHAU KUWA KUWA UZEE AMBAPO HATAWEZA KUPANDA ULINGONI TENA.
Hiyo njemba ina financial advisors,
pia imeinvest sehemu tofauti tofauti
anatumia faida hapo hadrein mfuko wake
 
Me nadhani black america wengi. Ni washamba ushamba wa mtu uko kwenye damu sio sehemu anayoishi washamba wapo kila engo ya dunia
Floyd ni mshamba tu akili ya kimaskini amepata pesa anataka dunia ijue kwamba yeye anazo

Wewe ndio una akili ya kimaskini,Atafute ela yeye wewe ambae upo huku bara la giza unashea maji ya kunywa na wanyama unakua kama unampangia afanye nin na ela zake
 
Wewe ndio una akili ya kimaskini,Atafute ela yeye wewe ambae upo huku bara la giza unashea maji ya kunywa na wanyama unakua kama unampangia afanye nin na ela zake
Ni kweli niko bara la giza nikiwa na fikra huru sio za kitumwa na siutukuzi uzungu najivunia kuzaliwa afrika

Siwezi kujaribu kuwaza kumpangia floyd matumizi kwa kuwa hata wazazi tu walionisomesha au kunitafutia kazi hawana uwezo wa kunipangia matumizi ya pesa zangu
Niko huru na nna uwezo wa ku manage kipato changu
kwa mtu mwenye akili ya kimaskini kama floyd miaka 20 baadae atakuwa maskini tu kwa kuwa ana roho ya kimaskini utajiri sio saizi yake
Nadhani mi nitakuwa levo nyingine sana wakati huo
 
Ni kweli niko bara la giza nikiwa na fikra huru sio za kitumwa na siutukuzi uzungu najivunia kuzaliwa afrika

Siwezi kujaribu kuwaza kumpangia floyd matumizi kwa kuwa hata wazazi tu walionisomesha au kunitafutia kazi hawana uwezo wa kunipangia matumizi ya pesa zangu
Niko huru na nna uwezo wa ku manage kipato changu
kwa mtu mwenye akili ya kimaskini kama floyd miaka 20 baadae atakuwa maskini tu kwa kuwa ana roho ya kimaskini utajiri sio saizi yake
Nadhani mi nitakuwa levo nyingine sana wakati huo

Et kumtukuza mzungu Pumbaav kabisa 99%ya vitu unatumia ni vya wazungu et atakua maskini nanwewe utakua level zingine labda level za kaburi
 
Hata 50 cent na tyson walitetewa hivyo hivyo mwisho wakaanza kuuza majumba haikusaidia

pia mi sijakosa nna hela ya kunitosha mm na familia yangu na ela ya mafuta na service ya gar langu maisha yanasonga ila sina za maonyesho ambazo ukifulia unaingia uvunguni
hivi hawa wakoje kufedha now
 
Me nadhani black america wengi. Ni washamba ushamba wa mtu uko kwenye damu sio sehemu anayoishi washamba wapo kila engo ya dunia
Floyd ni mshamba tu akili ya kimaskini amepata pesa anataka dunia ijue kwamba yeye anazo
African Americans,and Africans ni changamoto saana. kwa sababu ya kutawaliwa na kudharauliwa na wazungu tumekuwa malimbukeni pindi tupatapo pesa.huyu dogo yawezekana kabisaaa wafanyakazi wa ndani woote ni wazungu kisa anawakomoa wazungu wanapiga pesa maisha yanasonga......na pesa inayotumika tu bila kujazilishwa huisha amuulize tyson yupo wapi sasa
 
Me nadhani black america wengi. Ni washamba ushamba wa mtu uko kwenye damu sio sehemu anayoishi washamba wapo kila engo ya dunia
Floyd ni mshamba tu akili ya kimaskini amepata pesa anataka dunia ijue kwamba yeye anazo

Especially wacheza ngumi wengi wao kama c wote ni watoto wa mtaani kwhyo kuna kitu wanakosa
 
Watanzania bhana angekuwa masikini wangesema angekuwa tajiri wangesema..Ujue kila mmoja anamaisha yake na jinsi anavoishi halaf maisha ni ww unavopenda haimaanishi ukiwa tajiri hautazuiliwa kutembea na ndala ila maamuzi ukiridhika vile unavoishi ndio hivo ivo .....kwan nyie magar yenu hambadilishi oil
 
Hata 50 cent na tyson walitetewa hivyo hivyo mwisho wakaanza kuuza majumba haikusaidia

pia mi sijakosa nna hela ya kunitosha mm na familia yangu na ela ya mafuta na service ya gar langu maisha yanasonga ila sina za maonyesho ambazo ukifulia unaingia uvunguni

Nan kakwambia 50 cent kachoka kwanza sasa hiv ana ela sio kitoto series ya Power imempa pesa mingi juz juzi hapo kajikuta ana Bitcoin 700 ambazo zilikuapo alijisahau kama alizinunua zaman akaziweka kajipange wewe na kigari chako used hicho unajiona una maisha.
 
Back
Top Bottom