Mayweather vs McGregor August 26th, 2017

Mayweather vs McGregor August 26th, 2017

Sasa warudiane na pacqiao wakati pacqiao kapigwa na huyo mc Gregor?
Naona watu mnachanganya hapa Mc Gregory ajawah kupambana any proffesional boxing match,na pambano dhidi ya mayweather ndo litakua pambano lake la kwanza la boxing..

NB:Mchezo ambao anacheza Mc Gregory ni MMA(Mixed Martial Arts)

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mcgregor ni mtu pekee aliyempiga brock lesnar kwenye mma,nahisi hiyo august 26 patachimbika hasa
mkuu hivi unatazama UFC kweli? Mbona uzito wa Mcgregor ni mdogo sana,Brock alikuwa heavyweight ktk UFc......Kuna jamaa flani hivi ndio alimpiga Brock,UFc kuna madaraja kama kwenye boxing,
 
Hiyo tareh 8 DC na john nani anakatwa KO??
Hapo hakuna KO lazima mshindi apatikane kwa points.Ila john lazima awe makini sana DC ana strength moja kubwa ambayo ni wrestling aliyotumia kumshinda rumble johnson..
 
Hapo hakuna KO lazima mshindi apatikane kwa points.Ila john lazima awe makini sana DC ana strength moja kubwa ambayo ni wrestling aliyotumia kumshinda rumble johnson..
Kamaa john umemfatilia vizuri kakomaa sanaa afu anakataa elbow zinaumaa na mateke japo anamiguu myembambaa. DC minguvu ndo inamsaidiagaa japo huwa anachoka mapemaa sanaa. John mwepesi afu anashambulia na kukimbia kimbia. Tafuta pambano lao lililopitaa john alishinda kwa point lakin mziki ulikuwa mkubwa
 
Kamaa john umemfatilia vizuri kakomaa sanaa afu anakataa elbow zinaumaa na mateke japo anamiguu myembambaa. DC minguvu ndo inamsaidiagaa japo huwa anachoka mapemaa sanaa. John mwepesi afu anashambulia na kukimbia kimbia. Tafuta pambano lao lililopitaa john alishinda kwa point lakin mziki ulikuwa mkubwa
Nliangalia hilo pambano...wasiwasi wangu ni john kukaa mwaka mzima bila kupambana..
 
Nliangalia hilo pambano...wasiwasi wangu ni john kukaa mwaka mzima bila kupambana..
Nikwelii lakini jamaa huwa yuko vizurii semaa mashadaa nae kazidisha afu sahivi mwili umeongezeka
 
Back
Top Bottom