Pia fanya fallowing(Pumuzisha shamba hata miaka 2-3), fanya crop rotation(yaani ukilima mwaka huu mihogo mwaka unaofuaata lima mahidi+kunde, mwaka mwingine lima zao lingine, Weka mbolea ya samadi, zuia mmomonyoko wa udogo, epuka kulima kwa kutumia heavy equipment(viafaa vinatifua sana ardhi kama jembe la tractor, lima kwa kutumia conservation tillage, fanya conservation farming(panda bila kulima)
Yapo mambo mengi ukitaka kuhifadhi rutuba ya udogo/aridhi yako naomba niishie hapo