Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
 
Hii clip ya chini, kutokea "Al Jazeera Arabic" inaonesha magari ya siri ya deraya ya mazayuni, waliyotamba kuwa hayapigiki, yakichezea kichapo mpaka kuita helicoper ziwasaidie:

 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (greelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.
Wewe bibi nae punguza uwongo na propaganda

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wewe bibi nae punguza uwongo na propaganda

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Huwa sikisii, na mimi ni Muislam, kusema ukweli kwangu ni ibada. Sina sababu ya kudanganya. Pata uhondo hata kama lugha haipandi, utayapata moja mawili yanafanana na Kiswahili. Wahi kuona hiyo imevuja kuwa mazayuni wamekubali masharti yote ya Hamas mpaka kuwachia kiasi fulani cha wafungwa wa Kipalestina:


View: https://youtu.be/m8ykj36uG2E?si=CuSS8xj7VjJOXv3T

Na hiyo sasa hivi nai download ntaipandisha post # 1 kabla mazayuni hawajaifuta.
 
Kwa hiyo wanajiweza na hawahitaji misaada ya kuungwa mkono na dunia kama mnavyolazimisha watu wawaunge mkono kwa janga mlilochuma wenyewe?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ulimsikia Mpalestina hata mmoja akisema waungwe mkono? Hutomsikia, hizo kelele tutapiga sisi huku.

Hao ma shaheed, unafahamu maaana ya shaheed?
 
Tusisikie tena unabweka kwamba mazayuni yanawaonea,sio unaleta propaganda then mnaanza kulia,sisi tunachojua vita itasimamishwa kupisha misaada kuingia huko gaza na si vinginevyo mpaka magaidi muishe.
Sisi ni Waislam, labada huelewi mafunzo ya Kiislam. Kupigania ardhi yetu sisi ni kufa shaheed. Unafahamu maana yake?

Ulimsikia hata Mpalestina mmoja kuomba poo? Labda unaota.

mazayuni waliojidai hawaongei amani na kusitisha mapigano mpaka wawamalize Hamas, kiko wapi sasa? Kila wakiingia wanafyekwa. Wenyewe wameomba poo.

Umewaona picha mpaka wajinyea kwenye nguo, mwanajeshi anajinyea kwa uoga? Wanakumbana na mambo ya kutisha huko.
 
Hii clip imevuja kwa mwandishi huru, wayahudi wameomba poo kwa masharti yote ya Hamas:

 
Sisi ni Waislam, labada huelewi mafunzo ya Kiislam. Kupigania ardhi yetu sisi ni kufa shaheed. Unafahamu maana yake?

Ulimsikia hata Mpalestina mmoja kuomba poo? Labda unaota.

mazayuni waliojidai, hawaongei amani na kusitisha mapigano mpaka wawamalize Hamas, kiko wapi sasa? Kila wakiingia wanfyekwa.

Umewaona picha mpaka wajinyea kwenye nguo, mwanajeshi anajinyea kwa uoga? Wanakumbana na mambo ya kutisha huko.
Wewe una mapepo original kutoka kwa ibilisi sio bure,nani kakwambia nyinyi ndio wamiliki wa ardhi ya (dunia)Gaza,baba yetu Ibrahim ambae ni baba wa Israeli alipewa ardhi ile na Mungu mwenyewe,narudia tena na Mungu mwenyewe wewe mtoto wa mama mdogo umepewa kipande cha ardhi badala utulie unajitutumua kwa kupiga mabomu na kujitoa mhanga eti allah akbar allah akbar mbona hakusaidii muisrael anachukua hospital, bunge na anafanya chochote anachotaka na anafanikiwa kwasababu yupo kwenye haki yake aliyokabidhiwa toka enzi za mababu na hafanyi hivyo Saudia au yemen bali pale kwasababu ni haki ya milki yake,niambie toka mmeanza kuleta chochoko lini mmeshinda kama sio kupigwa tu miaka nenda rudi kama sio Mungu kuwa upande wao mnadhani msingeshinda kuanzia kwenye six days war mwaka 1968 mlipoungana waarabu wote tuambie kwanini hamkushinda,unadhani Israeli anashinda kwa nguvu zake?tangu mmetaka kuanzisha taifa mmefanikiwa?toka enzi za Yasser arafat mnabweka tu na mtaendelea kubweka mpaka Yesu anarudi kuwapa kipigo cha mwisho.
 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (greelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.
Ati unasema...... "Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (greelancers)vidogo vidogo "🤣😂😁😆
 
Wewe una mapepo original kutoka kwa ibilisi sio bure,nani kakwambia nyinyi ndio wamiliki wa ardhi ya Gaza,baba yetu Ibrahim ambae ni baba wa Israeli alipewa ardhi ile na Mungu mwenyewe,narudia tena na Mungu mwenyewe wewe mtoto wa mama mdogo umepewa kipande cha ardhi unajitutumua kwa kupiga mabomu,niambie lini toka mmeanza kuleta chochoko lini mmeshinda kama sio kupigwa tu miaka nenda rudi kama sio Mungu kuwa upande wetu mnadhani msingeshinda kuanzia kwenye six days war mwaka 1968 mlipoungana waarabu tuambie kwanini hamkushinda,unadhani Israeli anashinda kwa nguvu zake?tangu mmetaka kuanzisha taifa mmefanikiwa?toka enzi za Yasser arafat mnabweka tu na mtaendelea kubweka mpaka Yesu anarudi kuwapa kipigo cha mwisho.
Hii dini ya beki tatu Hajiri inawapeleka wengi jehanamu 🤣😂😁😆 heri wampe Yesu maisha yao vinginevyo wataenda ishi na baba yao Shetan na mtume mudi.
 
Hii clip ya chini, kutokea "Al Jazeera Arabic" inaonesha magari ya siri ya deraya ya mazayuni, waliyotamba kuwa hayapigiki, yakichezea kichapo mpaka kuita helicoper ziwasaidie:

View attachment 2820326
Sio tatizo lako ni teknolojia inakupiga chenga. Hii clip ni computer generated image waulize Waarabu halisi wakutafsirie kitu gani kinatamkwa hapo maana huelewi.
Unaokoteleza clips za kutengeneza studio
 
Back
Top Bottom