Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Hahahaha kuna watu vilaza aisee. Gaza iko chini ya Israel kwasasa na watu wamekufa wa kutosha halafu huyu Bibi wa tandale anasemaje.
Umekisoma nilichokiandika hujakielewa au hujakisoma kabisa?

Ikiwa unachosoma hukielewi, jionee:

Your browser is not able to display this video.
 
Leo nimemuamini Mtume Muhamed alisema Wanawake wa kiislam wana akili nusu na asilimia kubwa wataenda motoni sababu wana patwa hedhi..

Habari ipo ki nusu akili
Hiyo akili yetu "nusu" wewe hunayo hata chembe, linganisha hapo sasa.

Unajuwa kinachoendelea huko kwenye mazungumzo yao sasa hivi?

Kwanza mazayuni wamekasirika kwanini Wapalestina wamevujish siri kuwa wana mazungumzo ya siri ya kusitisha mapigano.
 
Pole Faiza kwa bahati mbaya sana kichapo kwa magaidi panyarodi wa hamas bado kipo palepale kinaendelea na kitaendelea aisee ongeza dua maana palestinian wanakufa mnooo.
Hakijaanza leo kichapo kwa Wapalestina, kina miaka 75, sema sasa hivi, kuanzia tarehe 7/10 wameamuwa kama vifo visiwe tena vya rejareja. Jionee vijana wanavyozipiga waziwazi:

Your browser is not able to display this video.
 
Kama nilivyoandika jana juu huko, mazayuni na media zote kubwa duniani (main stream) haziongelei kabisa kusitishwashwa kwa mapigano (ceasefire) lakini mapigano yamesitishwa kama nilivosema jana mazayuni watafanya kimya kimya kwa kuona haya.

Huu ni ushindi mkubwa sana kwa Wapalestina na hususan Hamas.
 
Mabadilishano ya mateka yanaendelea lakini kuna ajabu kubwa sana ya mateka wanaowachiwana wapalestina na wanaoachiwa na wayahudi kwa wanayoyaongea. Kuanzia wale wazee wa mwanzo na wa hivi sasa.

Umeielewa ajabu hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…