Mazda Axela anauliza: Kwanini Hamnioni?

Mazda Axela anauliza: Kwanini Hamnioni?

Sema Gari za Diesel ni mwanzo wa kulaumiana na wauza mafuta wakiona gari ndogo wanawaza petrol inabidi uwe extra care la sivyo unaingia gharama
Jamaa yangu, tumesoma nae o level na boli tumecheza wote, aisee akaniwekea petrol kwenye gari ya diesel.. Japo niliwahi kushituka lakini magonjwa yalianzia hapo nikauza kwa bei chee sana, huku gari nalitamani.
 
Jamaa yangu, tumesoma nae o level na boli tumecheza wote, aisee akaniwekea petrol kwenye gari ya diesel.. Japo niliwahi kushituka lakini magonjwa yalianzia hapo nikauza kwa bei chee sana, huku gari nalitamani.
Ulimuazima? Mi nimeweka bonge la stika kwa ndani… DIESEL
 
Ulimuazima? Mi nimeweka bonge la stika kwa ndani… DIESEL
mkuu hii mazda axela hatchback shepu yake si kama impreza tu? au nzuri zaidi kati ya hizo mbili? kwanini umekataa engine ya hybrid kwenye Axela? na je Hatchback ya Axela ipo juu kwa hizi barabara zetu? Gharana ya kuagiza na ushuru mpaka Tz ni kiasi gani kwa hiyo generation yako pendwa?
 
Back
Top Bottom