MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip.
Natumia Mazda 6, zinashare engine SkyActive ni nzuri sana sana saaaaaaana.
Hapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip.
Natumia Mazda 6, zinashare engine SkyActive ni nzuri sana sana saaaaaaana.
Kwann unaichukulia port ya KE?Ni gari nzuri sana.Sijainunua nimeikuta tu mtandaoni tu.
Mimi nimeagiza forester ipo kwa maji nataka nigame ToyotaView attachment 2767529
Kwann unaichukulia port ya KE?
Unyama sanaHapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip...
Bei yake mlima
Gear lever yake ya kidwanzi.Muundo wa Dashboad yake upo digital sana umepita gari nyingi huwezi kudhani hio gari ya 2013.
Kuna jamaa yangu ni business partner , yeye kila sku ananiambia hataki gari nyingine zaidi ya BMW X6 , jamaa amekomaa kabla ya mwez wa 12 awe nayo , daah jamaa anapenda unyama Sana, sa hv ana harrier tako la nyaniHapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip...
Na hii ndio JF.Kuna jamaa yangu ni business partner , yeye kila sku ananiambia hataki gari nyingine zaidi ya BMW X6 , jamaa amekomaa kabla ya mwez wa 12 awe nayo , daah jamaa anapenda unyama Sana, sa hv ana harrier tako la nyani
Kuna jamaa yangu ni business partner , yeye kila sku ananiambia hataki gari nyingine zaidi ya BMW X6 , jamaa amekomaa kabla ya mwez wa 12 awe nayo , daah jamaa anapenda unyama Sana, sa hv ana harrier tako la nyani
Gear lever yake ya kidwanzi.
Kama ni jamaa yako mwambie aende Harrier 3rd gen aachane na X6.Kuna jamaa yangu ni business partner , yeye kila sku ananiambia hataki gari nyingine zaidi ya BMW X6 , jamaa amekomaa kabla ya mwez wa 12 awe nayo , daah jamaa anapenda unyama Sana, sa hv ana harrier tako la nyani
Hapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip.
Natumia Mazda 6, zinashare engine SkyActive ni nzuri sana sana saaaaaaana.
Hiyo aliyoweka mtoa mada ni 1st generation iliisha mwaka 2016. Ukiwa na tight budget pambania ya mwaka 2016 na 2015 zilifanyiwa facelift moja tamu ndani nje na engine.
Kabla ya Facelift:
View attachment 2767536View attachment 2767537
Baada ya Facelift:
View attachment 2767538View attachment 2767539
View attachment 2767543
Ukiwa fresh zaidi chukua 2nd generation kuanzia ya 2017 nilikutana nayo moja mitaa ya Jangwani pale. Aisee. Kali sana.
2nd gen:
View attachment 2767540View attachment 2767541
Mkuu. Bongo ushuru aisee. Cheki Ushuru wa CX5 2.2 ya 2017Second generation ni tamu sana.
Ukitaka kuona most recent cars nyingi nenda Nairobi .
Nilikuwepo huko last week .
Gari kali zote recently utaziona ndo nikabahatika kupanda Mazda cx-5 ,
Kenya ile sheria yao ya gari liwe chini ya miaka saba inawasaidia sana.
Tz magari yaliyojaa ni matoleo ya zamani.
Nilijifunza sana kununua gari recent.
Lakini pia kenya pia ukikuta gari imechakaa inakuwa imechakaa kweli watu hawauzi magari maana kununua gari mpya ni ishu
Meli zinazoanza mombasa port (EA 001)then dar ni zile zinazotokea Asia . kwa meli zinazotokea europe huwa zinaanza dar port (EA 002) then inafuatia mombasaMeli nyingi saivi zinapita kenya kwanza ndo zije dar
Itapita mombasa badae itakuja Dar
Mkuu. Bongo ushuru aisee. Cheki Ushuru wa CX5 2.2 ya 2017
View attachment 2767571