Car4Sale Mazda Premancy inauzwa

Car4Sale Mazda Premancy inauzwa

Kama wewe umeweza kumiliki haimaanishi kua kila mtu ataweza. Kimsingi hakuna gari duniani ambayo haiwezi kutembea popote1 maana ktk dunia ya utandawazi unaweza kupata vipuri hata singapore. Ila tuzungumze ukweli...mazda ni gari ngumu kupata vipuri tena angalau ukiwa nayo dar ila kwa wamikoani aisee mazda siwashauri
Nakubaliana na wewe mkuu asilimia 100. Mazda aisee hapana. Nilinunua nikiwa naishi dar ilinilazimu haraka sana kuiuza nilipohamia Singida maana brake pads huku singida ni mtiti...ilinibidi kuwa na-bond
 
Kama wewe umeweza kumiliki haimaanishi kua kila mtu ataweza. Kimsingi hakuna gari duniani ambayo haiwezi kutembea popote1 maana ktk dunia ya utandawazi unaweza kupata vipuri hata singapore. Ila tuzungumze ukweli...mazda ni gari ngumu kupata vipuri tena angalau ukiwa nayo dar ila kwa wamikoani aisee mazda siwashauri
Ni mawazo yako ,tu umefungwa na fikra za Toyota ,tunaishi katika dunia nyingine ...mambo ya kukariri yamepitwa na wakati kaka hebu ujiulizi kwa ni i kenya ,uganda , msumbiji wameacha kutumia magari ya toyota sio mengi kwa sasa ,try to think out of box
 
Kama wewe umeweza kumiliki haimaanishi kua kila mtu ataweza. Kimsingi hakuna gari duniani ambayo haiwezi kutembea popote1 maana ktk dunia ya utandawazi unaweza kupata vipuri hata singapore. Ila tuzungumze ukweli...mazda ni gari ngumu kupata vipuri tena angalau ukiwa nayo dar ila kwa wamikoani aisee mazda siwashauri
Umeongea ukweli kabisa
 
Ni mawazo yako ,tu umefungwa na fikra za Toyota ,tunaishi katika dunia nyingine ...mambo ya kukariri yamepitwa na wakati kaka hebu ujiulizi kwa ni i kenya ,uganda , msumbiji wameacha kutumia magari ya toyota sio mengi kwa sasa ,try to think out of box
Sio mawazo yake bali ameongea ukweli na uhalisia uliopo
 
Back
Top Bottom