Mazee... Demu wangu kanifurahisha kinyama!!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Cheki tu avatar yangu hapo.... Then nipe marks...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Ha ha ha
You good chief
 
Moja Kati Ya makosa Mbayo utaja kuyafanya ni Pamoja na Hili La Kuamini Maneno ya Wanawake... take care of that, Huyo sio Mama yako ohooooo.....


Sasa mkuu... Ni wakat gani nitaamini mwanamke anasema ukweli ili nimuamini....
Maana juzi kasema hakupata uusingizi kabisa nilipomwambia kuwa nampiga chini...
Mpaka huruma ikaniingia...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
Khaaaaaaaa..... Mbona mambo mswano tuuu kama ndio hivo!!!!
Akinipiga chini ndio atakua ameni rahisishia kazi sasa, maana sina future naye....
Mie natafuta mwanamke Bikra bana.... Thats my first priority....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.

Kwan ww bikra
 
Itakua we bado ni mgeni na huwajui wanawake hata kidogo mkuu
Hizo kauli za kawaida sana na inaonesha unaweza kua tricked kirahisi sana na mwanamke


Sasa mkuu demu kanibembeleza mpaka anasema juzi usiku hakuweza kulala kabisa aliposikia nataka kumpiga chini...
Yaani manzi amedata, kanikubali, niko juu... Kawasahau ma ex zake wote.....
Ungekua wewe ungelii fanyaje hapo.... Ungeona raha eeeeeehh

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
B O Y A
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100]
 
Sasa mkuu... Ni wakat gani nitaamini mwanamke anasema ukweli ili nimuamini....
Maana juzi kasema hakupata uusingizi kabisa nilipomwambia kuwa nampiga chini...
Mpaka huruma ikaniingia...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
ha ha ha... Kwamba Tangu uanze Relationship hukuwahi kutana na haya maneno Kabla au sio!
 
Chief Wewe ni 1:4


Tulia wewe... Demu kanikubali kinyama... Kanibembeleza juzi usiku huyooo.....
Ungekuepo ungeni tamania....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
We huwajui wanawake inaonekana na ni mara ya kwanza kwako kusifiwa na kama una mkwanja tegemea kusifiwa zaid maana wanawake wanachotaka kwa mwanaume ni hicho tu
 
πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™
Mkuu unanitafutia dhahama bureee.... joanah mama unaona hii situation hii.....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Naiona chief
Huyu jamaa anajaribu kuhalalisha vitu ambavyo havipo
 
Tutaacha kufanyaje..... Kuwachezea madem???
Ndio maana nataka kuacha sasa... Demu kagoma... Kakubali muziki wangu. Kubabake walay

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Kusifiwa kijinga tu na wewe unakabali
 
Hahaha! Tell the kid. It seems he isnt aware of that!
I barely see how the guy has been obsessed with such a childish lie, mwanamke anaweza kuwa mtu wa hovyo kuliko anavyoweza dhania! Ngoja alizwe kwanza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…