Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Yani ndani ya miezi 6 ulikuwa na manzi mmoja dah unahitaji tuzo.
Wa kwako including wanaokuhusu wa kike. Hata mama yako yumo. With thanks.
Na wa kwako watatukanwa hivyo hivyo. Utajutia maishani mwako. Kila la heri. Kwetu nimelelewa nikaiva. Ukweli nimekuambia.
Una mdomooooooWa kwangu?????????
Una maanisha mke wangu, binti yangu au huyu demu wangu wa sasa!!!!!
Maana kama ni mtoto ninae wa kiume na sitarajii kuzaa tena..... Upo hapo...
Haya, kuoa ndio hata sifikiriii itakuja kutokea...
Sasa cjui huyo wa kwangu una maanisha nani sasa..... Au huyu ex-gf!!!!!!
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Una mdomoooooo
Dada aliyemuacha huyu Engineer apongezwe. Unamuacha demu halafu unakuja kulialia hapa kuwa unamkumbuka hulali ukimuwaza. Dada wa Morogoro hongera sana uliyempiga kibuti anaweweseka huku JF
Wewe unaonekana mchokozi sana. Ujue Mungu anakuonaHuyu nae cjui katokea chocho gani...
Mimi ndio nilikapiga chini baada ya kukagonga for more than six years... Na mama yake (pamoja na wadogo zake isipokua dingi yao) walikua wanajua fika kabisa kuwa dada yetu anakazwa na engineer...
Mimi ndio nilikapiga chini baada ya kuona kuna vigezo hakaja qualify kuitwa baby mama.
ACHA UBOYA.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Jaribu ulete mrejeshoHivi kwa wataalamu. Mtu unaweza kujilipua vitatu mfululizo??
Why uulizie waliopita?Hakuna mwanamke atakwambia alikuwa na mwengine duniani[emoji3] [emoji3]
Akijitahidi sana atakwambia alikuwa na mmoja tu alieanza nae na hata hampendi kila mtu kivyake.
Tukirudi kwenye thread mtalaka hatongozwi
Inasaidia kujua CV yake na experience[emoji3]Why uulizie waliopita?
Kwani anaomba ajira?Inasaidia kujua CV yake na experience[emoji3]
Kujua historia na changamoto alizozipitia na wapenzi wake kutafanya ujue sura yake halisi na jinsi gani ya kuishi nae pamoja na mambo asiyoyapenda yaliyosababisha kuvunjika kwa wapenzi wake wa zamani. Kuliko kumficha na kuja kugundua baadae itakucost na anaweza kupunguza mapenzi, kukuacha na kuchepukaKwani anaomba ajira?
Yamelala kama ya mama yako, bibi yako, Shangazi na Dada zako.Weweee huo mkwala mbuzi kalipige toto lako lililo nyonya maziwa yako mpaka yameanguka pamebaki kama ndala...
Yaan we unadhan laana ni kitu simple simple tuu...
ACHA UBOYA.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Hata wa kiume atakuzalia Malaya, na wajukuu mpaka vilembwekeze. Mungu hadhihakiwi. Tunavuna tunachopanda. Endelea kunitukana utakavyo. Sikuoni, siwezi kukulipiza matusi kwa kuwa nimelelewa ipasavyo. Mungu anakuona na atakulipa stahili yako kwa vizazi vyako. Iko siku utashika tama.Wa kwangu?????????
Una maanisha mke wangu, binti yangu au huyu demu wangu wa sasa!!!!!
Maana kama ni mtoto ninae wa kiume na sitarajii kuzaa tena..... Upo hapo...
Haya, kuoa ndio hata sifikiriii itakuja kutokea...
Sasa cjui huyo wa kwangu una maanisha nani sasa..... Au huyu ex-gf!!!!!!
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Huo mto na taulo vitakua vinajuta kumilikiwa na wewe.Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx..
EBANA SAWA :
Mnakumbuka nikiwaambiaga kuwa nilikua na demu (first lover) toka mwaka 2011 mpaka mwaka huu mwanzon.... Huyo manzi (actually she is 6 years younger than me) nilianza kumgegedua tangu yuko form two (mie nimemaliza six by that time)
Basi toka hiyo form two nilikua namgegedua tuuu mpaka anamaliza four, kafeli mie ninae tuu (kila nikienda likizo au field kutoka chuo naenda najipozea likizo nzima)
Anyway that's not the big deal.
And here is the deal....
Baada ya kuamua kumpiga chini early this year (kadogo kanapenda penda hela pamoja na vijimapungufu vingine nikaona hakafai kuwa ka wife material)
Basi soon ghafla bin vuuu haikupita hata Mwezi nikaopoa manzi mwingine mkali mzuri (nalingana nae age)
Hapendi pendi hela, ana akili za kiutu uzima (very ideal wife material for sure)
Baada ya historia fupi hapo juu,
TATIZO NI HIVI
C mnajua tena mapenz ya first lover yalivo.. Yaan hata kama akimpata barafu wa moyo yupi, yule wa kwanza hatoki akilini (tena afadhali yetu sie wanaume)
Sasa sometimes akija akilini (especially mida ya night hivi nimelala)
Nikikumbuka nilivokua namgegedua kwa tangu kule Tabora mpaka alivohamia kambi ya Mizinga moro basi kwa kasi ya AJABU
Hisia huwa zinani panda (na bahat mbaya manzi wangu mpya silali nae nyumba moja) basi NAJIKUTA nimenyakua mto au taulo najilipua ka goli kamoja pyuuuuu mawazo yanaisha na usingiz huoooo nalala.
Mazee nifanyeje niondokane na huu ugonjwa????
Jana tu nimejilipua usiku.
nimechoka kujigegedua jamani..
Tiririkeni maushauri yenu mazuri mazuri hapa chini.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng