Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
Tout Puissant Mazembe Out !
Le Mihayo est éliminé
Le Miracle n'aura pas Lieu -
Miujiza haina nafasi. Kwa mara ya pili mfululizo Mazembe inaishia katikati ya Michuano ya Klabu Bingwa Africa .
Le TP Mazembe s’est imposé 1-0 ce samedi au retour dans son jardin du Kamalondo, mais ce succès est insuffisant pour renverser la vapeur et les Corbeaux de Lubumbashi sont éliminés en quarts de finale de la Ligue des champions.
Goli moja halikutosha kwa Mazembe kuendelea, hence sont éliminés en 1/4 de finale.
Nadhani kuna haja ya hizi klabu za Simba na Yanga kujitafakari.
Mpira sio mchezo vinginevyo wataendelea kujifurahisha na utani wao. Vijana wa Simba siku hizi wapo focused sana na Caméra za social media kuliko uwanjani.
Pia Hawa wawekezaji wetu uchwara kama Mo wajitafakari; sio kuweka vijibilioni nne na kuanza kulia lia kama looser.
Wafanye Investment ya maana kama wanataka to make a difference.
Le Mihayo est éliminé
Le Miracle n'aura pas Lieu -
Miujiza haina nafasi. Kwa mara ya pili mfululizo Mazembe inaishia katikati ya Michuano ya Klabu Bingwa Africa .
Le TP Mazembe s’est imposé 1-0 ce samedi au retour dans son jardin du Kamalondo, mais ce succès est insuffisant pour renverser la vapeur et les Corbeaux de Lubumbashi sont éliminés en quarts de finale de la Ligue des champions.
Goli moja halikutosha kwa Mazembe kuendelea, hence sont éliminés en 1/4 de finale.
Nadhani kuna haja ya hizi klabu za Simba na Yanga kujitafakari.
Mpira sio mchezo vinginevyo wataendelea kujifurahisha na utani wao. Vijana wa Simba siku hizi wapo focused sana na Caméra za social media kuliko uwanjani.
Pia Hawa wawekezaji wetu uchwara kama Mo wajitafakari; sio kuweka vijibilioni nne na kuanza kulia lia kama looser.
Wafanye Investment ya maana kama wanataka to make a difference.