Mazen Ahmad Mkuu wa Police wa Hamas, Auawa na Majeshi ya Israel

Mazen Ahmad Mkuu wa Police wa Hamas, Auawa na Majeshi ya Israel

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ninayo huzuni kutangaza kifo cha Mazen Ahmad ambaye ni Mkuu wa Polisi wa Hamas. Mina la faadhina Rajuun.

Tumwombee asipunjwe thwawabu zake peponi. Amina.
Webabu Ritz FaizaFoxy Adiosamigo na kimsboy
Screenshot_2024-10-23-22-20-17-835_com.twitter.android~2.jpg
 
Mleta mada mbona kama umefurahia kwa namna flani ya kejeli hvi
Nimefurahi sababu jamaa anawahi Bikra 72. Sema naona wivu atachagua watoto wakali sana. Sisi wengine sijui tutapata nini.
 
Israeli akiendelea hvi..huko kwa mnyazi nungu hakutakalika kwa viliio vya Bnt zenye macho yakungu.. zikitolewa bikra na hizigaidi zimetoka huku zikiwa na kipururu zikifika nikupasua tu
 
Naona sasa hivi jf imegawanyika pande mbili marepota kutoka upande wa hamas na maripota kutoka kwa israel good news ni kwamba kila upande unataka kuonekana inashinda mechi zake
 
Naona sasa hivi jf imegawanyika pande mbili marepota kutoka upande wa hamas na maripota kutoka kwa israel good news ni kwamba kila upande unataka kuonekana inashinda mechi zake
 
Back
Top Bottom