Maziko ya Abdulwahid Sykes 1968

Maziko ya Abdulwahid Sykes 1968

Ok fine mzee Mohamed utahojiwa na Clouds Tv na Abdul Sykes ni mmoja wa waasisi wa African Association alikuwa muislamu. Je hii ni justification kuwa waislamu pekee ndio walipigania uhuru wa Tanzania?

Utumwe mwandishi makini hapa Tanzania utamtaja Massoud Kipanya?
Idu...
Mimi nimesahihisha historia iliyokosewa.
Tena nimeandika historia ya wazee wangu.

Sioni tatizo liko wapi.
Hayo mengine sidhani kama yanahitaji mimi kujadili na wewe.
 
Idu...
Mimi nimesahihisha historia iliyokosewa.

Tena nimeandika historia ya wazee wangu.

Sioni tatizo liko wapi.

Hayo mengine sidhani kama yanahitaji mimi kujadili na wewe.
Historia iliyokosewa na akina nani? Nani hapa Tanzania hajui kuwa kulikuwa na African Association, ambayo akina Sykes walihusika kuiunda. Nani hajui kuwa baadae palikuja kuwa na TANU.

Hoja hapa ni hili suala ambalo mnataka kulipotosha kuwa sababu Sykes alikuwa muislamu basi waislamu ndio walipigania uhuru wa Tanganyika. Mohamed Said mzee wetu hii sio sawa.

Mbali ya hayo mbona huweki mambo wazi kuwa kulikuwa na Tanganyika territory civil service association ambayo ilianzishwa na akina Martin Kayamba na kisha baadae kukawa na African Association?

Mbona unastick juu ya Dock workers association huku ukisahau hata mikoani kulikuwa na vyama vya waafrika kutetea maslahi yao?
 
Historia iliyokosewa na akina nani? Nani hapa Tanzania hajui kuwa kulikuwa na African Association, ambayo akina Sykes walihusika kuiunda. Nani hajui kuwa baadae palikuja kuwa na TANU.

Hoja hapa ni hili suala ambalo mnataka kulipotosha kuwa sababu Sykes alikuwa muislamu basi waislamu ndio walipigania uhuru wa Tanganyika. Mohamed Said mzee wetu hii sio sawa.

Mbali ya hayo mbona huweki mambo wazi kuwa kulikuwa na Tanganyika territory civil service association ambayo ilianzishwa na akina Martin Kayamba na kisha baadae kukawa na African Association?

Mbona unastick juu ya Dock workers association huku ukisahau hata mikoani kulikuwa na vyama vya waafrika kutetea maslahi yao?
Idu...
Martin Kayamba alikuwa kibaraka wa Waingereza.

Inaelekea huijui historia ya wazee wangu na taasisi walizoanzisha - AA 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933, Dockworkers Union 1948 na TANU 1954.

Wewe sasa andika historia za hivyo vyama vingine.

Sielewi vipi unahangaika na historia ambayo mimi nawaeleza wazee wangu.
 
Idu...
Mimi nimesahihisha historia iliyokosewa.

Tena nimeandika historia ya wazee wangu.

Sioni tatizo liko wapi.

Hayo mengine sidhani kama yanahitaji mimi kujadili na wewe.
Historia iliyokosewa na akina nani? Nani hapa Tanzania hajui kuwa kulikuwa na African Association, ambayo akina Sykes walihusika kuiunda. Nani hajui kuwa baadae palikuja kuwa na TANU.

Hoja hapa ni hili suala ambalo mnataka kulipotosha kuwa sababu Sykes alikuwa muislamu basi waislamu ndio walipigania uhuru wa Tanganyika. Mohamed Said mzee wetu hii sio sawa.
Idu...
Martin Kayamba alikuwa kibaraka wa Waingereza.

Inaelekea huijui historia ya wazee wangu na taasisi walizoanzisha - AA 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933, Dockworkers Union 1948 na TANU 1954.

Wewe sasa andika historia za hivyo vyama vingine.

Sielewi vipi unahangaika na historia ambayo mimi nawaeleza wazee wangu.
We mzee usipanic. Kabla ya AA 1929 kulikuwa hakuna taasisisi za kupigania maslahi ya waafrika? Kayamba unamuona kibaraka wa waingereza sababu alikuwa mkristu?

Sihangaiki na historia yako kisa tu wazee wako walishiriki.

Unatakiwa uweke wazi kuwa kulikuwa na taasisi nyingi zilizoundwa kutetea haki za waafrika. Sio Dockworkers union pekee kisa wazee wako walishiriki.

Pia unatakiwa uweke wazi kuwa TANU ilipatikana baada ya AA hivyo sio sababu ya kusema wazee wako walipuuzwa na kusahauliwa.
 
Historia iliyokosewa na akina nani? Nani hapa Tanzania hajui kuwa kulikuwa na African Association, ambayo akina Sykes walihusika kuiunda. Nani hajui kuwa baadae palikuja kuwa na TANU.

Hoja hapa ni hili suala ambalo mnataka kulipotosha kuwa sababu Sykes alikuwa muislamu basi waislamu ndio walipigania uhuru wa Tanganyika. Mohamed Said mzee wetu hii sio sawa.

We mzee usipanic. Kabla ya AA 1929 kulikuwa hakuna taasisisi za kupigania maslahi ya waafrika? Kayamba unamuona kibaraka wa waingereza sababu alikuwa mkristu?

Sihangaiki na historia yako kisa tu wazee wako walishiriki.

Unatakiwa uweke wazi kuwa kulikuwa na taasisi nyingi zilizoundwa kutetea haki za waafrika. Sio Dockworkers union pekee kisa wazee wako walishiriki.

Pia unatakiwa uweke wazi kuwa TANU ilipatikana baada ya AA hivyo sio sababu ya kusema wazee wako walipuuzwa na kusahauliwa.
Idu...
Ukianza na hii ''We Mzee,'' ni kuwa umehamaki.
Sina sababu ya kuingia katika ugomvi.

Historia hii inanihusu mimi na nimeandika kitabu sasa kina miaka 23.
Kitabu cha Chuo Cha CCM Kivukoni kimechapwa mwaka wa 1981 toleo moja.

Ktabu changu kipo toleo la nne.
Kiingereza toleo la pili Kiswahili la nne.

1621968330711.png

1622026320333.png

1621968423555.png
 
Idu...
Ukianza na hii ''We Mzee,'' ni kuwa umehamaki.
Sina sababu ya kuingia katika ugomvi.

Historia hii inanihusu mimi na nimeandika kitabu sasa kina miaka 23.
Kitabu cha Chuo Cha CCM Kivukoni kimechapwa mwaka wa 1981 toleo moja.

Ktabu changu kipo toleo la nne.
Kiingereza toleo la pili Kiswahili la nne.

View attachment 1797509
View attachment 1797510
Mzee Mohamed samahani. Ila najua unafahamu kuwa sio wewe pekee ulieandika hitoria ya juu ya TANU na watu wanajua kuchekecha mambo.
 
Mzee Mohamed samahani. Ila najua unafahamu kuwa sio wewe pekee ulieandika hitoria ya juu ya TANU na watu wanajua kuchekecha mambo.
Idu...
Walikuwa wapi wakati Chuo Cha CCM Kivukoni wamechapa kitabu cha historia ya TANU 1981 na Ally Sykes kadi No. 2 Abdul kadi no. 3, Dossa kadi no. 4, Denis Phombeah kadi. 5, Dome Budohi kadi no 6 na Abbas Sykes kadi no. 7 wamefutwa?

Mbona hawajachekecha mambo?

Nitajie mwingine aliyeandika historia ta TANU.
 
Idu...
Walikuwa wapi wakati Chuo Cha CCM Kivukoni wamechapa kitabu cha historia ya TANU 1981 na Ally Sykes kadi No. 2 Abdul kadi no. 3, Dossa kadi no. 4, Denis Phombeah kadi. 5, Dome Budohi kadi no 6 na Abbas Sykes kadi no. 7 wamefutwa?

Mbona hawajachekecha mambo?

Nitajie mwingine aliyeandika historia ta TANU.
Mzee Mohamed sijakupata. Yaani CCM haitambui kuwa akina Sykes walikuwa na mchango mkubwa kupatikana TANU? Hawafahamu kadi za TANU zilivyogawiwa kinamba?
 
Mzee Mohamed sijakupata. Yaani CCM haitambui kuwa akina Sykes walikuwa na mchango mkubwa kupatikana TANU? Hawafahamu kadi za TANU zilivyogawiwa kinamba?
Idu...
Walipokuwa wanaandika kitabu cha historia ya TANU walipelekewa historia ya Abdul Sykes wakakataa kupokea.
 
Idu...
Walipokuwa wanaandika kitabu cha historia ya TANU walipelekewa historia ya Abdul Sykes wakakataa kupokea.
Mzee Mohamed hii haingii akilini. Walikataa ili iweje? Mwl Julius alikuwepo na alifahamu ukweli wote.

Mimi nakataa naona mnatafuta justification ili mlete zile story zenu.
 
Mzee Mohamed hii haingii akilini. Walikataa ili iweje? Mwl Julius alikuwepo na alifahamu ukweli wote.

Mimi nakataa naona mnatafuta justification ili mlete zile story zenu.
Idu...
Hapana shida mimi nakueleza nikijuacho kuamini au vinginevyo ni juu yako mwenyewe.

Mwaka wa 1985 Nyerere alotoa medali 3979 kwa Watanzania waliofanya makubwa nchini.

Jina la Abdul halikuwapo.

Kabla ya kutolewa hadharani majina hayo muulizaji alimuuliza Mwenyekiti wa kamati ya kutunuku medali.

Mbona majina ya fulani na fulani na fulani hayamo?

Yakawa hayamo.
Wamekataliwa.
 
Idu...
Hapana shida mimi nakueleza nikijuacho kuamini au vinginevyo ni juu yako mwenyewe.

Mwaka wa 1985 Nyerere alotoa medali 3979 kwa Watanzania waliofanya makubwa nchini.

Jina la Abdul halikuwapo.

Kabla ya kutolewa hadharani majina hayo muulizaji alimuuliza Mwenyekiti wa kamati ya kutunuku medali.

Mbona majina ya fulani na fulani na fulani hayamo?

Yakawa hayamo.
Wamekataliwa.
Mzee Mohamed narudia kusema. Mnatafuta justification juu ya lawama mnazoeneza.

Mwl Nyerere akatae mchango wa akina Sykes?
 
Mzee Mohamed narudia kusema. Mnatafuta justification juu ya lawama mnazoeneza.

Mwl Nyerere akatae mchango wa akina Sykes?
Idu...
Kama nilivyokueleza.

Mimi naeleza ninayojua kufikia Abdul kufutwa katika historia.

Si lazima uamini.
Nina mengi.
 
Idu...
Kama nilivyokueleza.

Mimi naeleza ninayojua kufikia Abdul kufutwa katika historia.

Si lazima uamini.
Nina mengi.
Mzee Mohamed sikubaliani na wewe kuwa Abdul alifutwa katika historia.

Unataka kusema uislamu wake ndio sababu?
 
Mzee Mohamed sikubaliani na wewe kuwa Abdul alifutwa katika historia.

Unataka kusema uislamu wake ndio sababu?
Idu...
Sikulazimishi kuamini niliyoandika lakini nimesoma kitabu cha Kivukoni historia ya TANU imeandikwa bila ya kuwemo Abdul Sykes.

Halikadhalika kitabu cha Abubakar Ulotu kitabu chake cha historia ya TANU Abdul hayumo.

Lakini sijui kama unajua.

Hiki kitabu cha Abubakar Ulotu ni kutoka mswada wa historia ya TANU kilichokuwa kinaandikwa pale TANU Office na Abdul Sykes na Dr. Wilbard Kleruu mwaka wa 1962 Nyerere akihusika.

Abdul akajitoa katika uandishi wa hiki kitabu.

Dr. Kleruu akaendelea na uandishi hadi ukakamilika lakini TANU hawakuweza kukichapa kitabu kile.

Abubakar Ulotu akachukua mswada ule kwa siri na bila idhini ya TANU akachapa kitabu kile na akaweka jina lake kama mwandishi.

Nina mengi.
Tusimame hapa.
 
Idu...
Sikulazimishi kuamini niliyoandika lakini nimesoma kitabu cha Kivukoni historia ya TANU imeandikwa bila ya kuwemo Abdul Sykes.

Halikadhalika kitabu cha Abubakar Ulotu kitabu chake cha historia ya TANU Abdul hayumo.

Lakini sijui kama unajua.

Hiki kitabu cha Abubakar Ulotu ni kutoka mswada wa historia ya TANU kilichokuwa kinaandikwa pale TANU Office na Abdul Sykes na Dr. Wilbard Kleruu mwaka wa 1962 Nyerere akihusika.

Abdul akajitoa katika uandishi wa hiki kitabu.

Dr. Kleruu akaendelea na uandishi hadi ukakamilika lakini TANU hawakuweza kukichapa kitabu kile.

Abubakar Ulotu akachukua mswada ule kwa siri na bila idhini ya TANU akachapa kitabu kile na akaweka jina lake kama mwandishi.

Nina mengi.
Tusimame hapa.
Mzee Mohamed, sitaki kuamini kuwa CCM hawatambui mchango wa Abdul Sykes mpaka TANU ikazaliwa na kisha tukapata uhuru.

Yawezekana tu uzembe wa watu wasiojitambua ndio walifanya makosa ya kutoingiza habari zake Abdul.

Lakini pia napingana na wewe kuwa mchango wa akina Sykes pekee ndio ulikuwa sababu kubwa ya kulete mafanikio ya kuzaliwa TANU.

Mfano unajikita kueleza jinsi Dockworkers union ilivyokuwa na ushawishi chini Abdul kiasi cha kuipa sapoti TANU huku ukisahau kulikuwa na colonial service union nyingi za kiafrika ambazo pia zilitoa sapoti kwa TANU. Mfano chama cha wafanyakazi wa reli na vingine vingi vilileta mchango mkubwa.

Pia hutaki kukubali ukweli kuwa sio akina Sykes tu pekee waliounganisha watanganyila ka kisaha AA ikapatikana mwaka 1929.

Hutaki kukubali kuwa Martin Kayamba ambae aliplay big role mpaka AA ikazaliwa alitoa mchango mkubwa kisa tu ni mkristo.

Lakini tambua kuwa ni vitabu vichache sana vilivyoandika juu ha Martin Kayamba.

Maandiko yako yako very biased kiasi cha kutia shaka.
Screenshot_20210526-064302.png
 
Mzee Mohamed, sitaki kuamini kuwa CCM hawatambui mchango wa Abdul Sykes mpaka TANU ikazaliwa na kisha tukapata uhuru.

Yawezekana tu uzembe wa watu wasiojitambua ndio walifanya makosa ya kutoingiza habari zake Abdul.

Lakini pia napingana na wewe kuwa mchango wa akina Sykes pekee ndio ulikuwa sababu kubwa ya kulete mafanikio ya kuzaliwa TANU.

Mfano unajikita kueleza jinsi Dockworkers union ilivyokuwa na ushawishi chini Abdul kiasi cha kuipa sapoti TANU huku ukisahau kulikuwa na colonial service union nyingi za kiafrika ambazo pia zilitoa sapoti kwa TANU. Mfano chama cha wafanyakazi wa reli na vingine vingi vilileta mchango mkubwa.

Pia hutaki kukubali ukweli kuwa sio akina Sykes tu pekee waliounganisha watanganyila ka kisaha AA ikapatikana mwaka 1929.

Hutaki kukubali kuwa Martin Kayamba ambae aliplay big role mpaka AA ikazaliwa alitoa mchango mkubwa kisa tu ni mkristo.

Lakini tambua kuwa ni vitabu vichache sana vilivyoandika juu ha Martin Kayamba.

Maandiko yako yako very biased kiasi cha kutia shaka.View attachment 1797745
Idu...
Ndiyo nasema kuwa unapenda kujadili historia hii lakini bahati mbaya huna ujuzi wa mengi katika somo hili.

Chukua muda uisome hii historia ndipo uje tufanya mjadala.

Kuondolewa majina ya Abdul Sykes, Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate kwa kuwataja wachache katika historia ya TANU haikuwa uzembe.

Hili lilikusudiwa.

Hassan Upeka aliyekuwa mmoja wa watafiti na waandishi wa historia hiyo chini ya Chuo Cha CCM Kivukoni anasema kuwa Dr. Mayanja Kiwanuka aliyekuwa kiongozi wa jopo alikataa kupokea taarifa za Abdul Sykes.

Haya nimeyaeleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

Hiyo book review ya Brian Eccles naifahamu sana.

Nyingine ni ya John Iliffe, James Brennan na Jonathan Glassman katika Cambridge Journal of African History.

Sishangai aliyoandika.

Ila nashangaa kwa nini hakueleza kuwa kweli hao, '' Abdul Muslim associates,'' hawamo katika historia lau kama mchango wao ni muhimu.

Yawezekanaje kuwa baba na watoto wake wote wameshika uongozi katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika na wote hawamo katika historia ya TANU?

Baba muaisisi wa AA na wanae wote waasisi wa TANU.

Tuje kwa Martin Kayamba.

Martin Kayamba hakuhusika katika kuunda AA.

Hili si jambo la sisi kuvutana.

Kleist Sykes kawataja wote walioasisi AA katika mswada wa kitabu alioandika kabla hajafa.

Sasa mswada huu ni kitabu: Daisy Sykes Buruku, ''Kleist Sykes The Townsman,'' ''Modern Tanzanians,'' Ilife (Ed) 1973.

Kleist Sykes yuko pia katika Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press, New York, 2011 na mwandishi wa maisha yake ni Mohamed Said.

Nahitimisha kwa kukufahamisha kuwa gazeti la Africa Events lililokuwa na makala yangu, ''In Praise of Ancestors,'' lilikusanywa lote na kutolewa katika mzunguko lisisomwe.

Kama nilivyosema sikulazimishi kuniamini katika haya ninayokueleza muhimu kwangu ni kuwa nimekueleza ule ukweli ninaoufahamu na yale yaliyonifika katika kusahihisha historia ya TANU.

1622003718424.png


1622003942498.png


Kleist Sykes muasisi wa AA 1929, Abdul, Ally na Abbas waaisi wa TANU 1954 kadi no 2,3, na 7.
Nina mengi katika historia ya TANU.
 
Back
Top Bottom