Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Alipofariki Nelson Mandera dunia nzima ilenda live kwa kipindi chote cha msiba na maombolezo, ilipofikia mwili kuwekwa katika nyumba ya milele kamera zilizimwa na tukaambia ni ndugu wa karibu tu ndio watakaoshiriki zoezi zima la kuzika.
Jana tena wakati Malkia anazikwa pamoja dunia kushiriki kuanzia msiba unaanza mpaka mwishoni tunaambiwa ndugu wa karibu na wanaohusika tu ndio wanamaliza. Sasa sie wananzengo tumebaki na maswali mengi mno kuhusiana na maziko ya wafalme, malkia. machifu na watemi wa huku kwetu.
Hadithi zetu za kale zilitwambia mfalme anazikwa na watu wa kumsindikiza na kumshikilia kaburini tena wakiwa hai vijana mashababi na mabint chuchu konzi. wahistoria mnatuambiaje Malkia kazikwa peke yake au kuna waliomsindikiza vipi siku hizi mbona inafichwa wakati zamani walikuwa wanahadithia.
Aliyetizama sinema ya shaka Zulu atanielewa na maanisha nini, lakini marehemu mzee wangu wakati akinipigia story za kwao unyamwezini watemi wao huko walizikwa na watu. Ukiungalia msiba wa malkia pasi na shaka taratibu zoote za maziko ya kale ya kifalme zilifuatwa ila mwishoni ndio watu wa karibu tu wamemaliza.
Ebu tukumbushane na kujuzana zaidi, JF ndio kwenye elimu yote nafungua mjadala hili hawa vijana wa 2000 waone tulipotoka.
Jana tena wakati Malkia anazikwa pamoja dunia kushiriki kuanzia msiba unaanza mpaka mwishoni tunaambiwa ndugu wa karibu na wanaohusika tu ndio wanamaliza. Sasa sie wananzengo tumebaki na maswali mengi mno kuhusiana na maziko ya wafalme, malkia. machifu na watemi wa huku kwetu.
Hadithi zetu za kale zilitwambia mfalme anazikwa na watu wa kumsindikiza na kumshikilia kaburini tena wakiwa hai vijana mashababi na mabint chuchu konzi. wahistoria mnatuambiaje Malkia kazikwa peke yake au kuna waliomsindikiza vipi siku hizi mbona inafichwa wakati zamani walikuwa wanahadithia.
Aliyetizama sinema ya shaka Zulu atanielewa na maanisha nini, lakini marehemu mzee wangu wakati akinipigia story za kwao unyamwezini watemi wao huko walizikwa na watu. Ukiungalia msiba wa malkia pasi na shaka taratibu zoote za maziko ya kale ya kifalme zilifuatwa ila mwishoni ndio watu wa karibu tu wamemaliza.
Ebu tukumbushane na kujuzana zaidi, JF ndio kwenye elimu yote nafungua mjadala hili hawa vijana wa 2000 waone tulipotoka.