Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Huyo Dogo anaitwa Minyembe ,yaani viwembe, alikua hakosi viwembe mfukoniWE MWEHU HUJAWAHI INGILIWA NA MAJAMBAZI WEWE..JUZI MTAANI WAMEMPIGA NONDO YA KICHWA MZEE NA KUMKATA MKONO MWANAE HADI MZEE KAFA...AISEE WAKIINGIA ANGA ZANGU NI KIBERITI TU HADI WAISHE..HATA VITABU VYA DINI VIPO WAZI KATIKA HILI
Hawa watoto wa kishua mbwa mkali shule anasindikizwa na KK Security hawezi elewa.nilikuwa nawachukulia poa,
Ila kuna walichofanya baada ya Funga mtaa pale External,
nawaogopa mno hawa jamaa
Hivi huyo kung'u aliedidishwa huko Kawe sio huyu bwana Kawe Alumni wa humu JF?
Dar bhana, haya wavalisheni nguo za chadema alafu mseme wana andamana kipigo cha mbwa koko kitahusika, ila unaandikaga kama unakimbvizwaNi vyema tusisubiri maafa, tutoe angalizo mapema.
Maziko ni kesho
Ndugu zetu marafiki zetu wa Kawe Polisi, tunatoka msibani kunasikitisha ukiacha majonzi yanayoendelea.
Naamini mmeshapajua hapo msibani karibu na geti dogo la Lugalo. Bajaji kumi kidogo zimeshusha wahuni wanavuta bangi msibani hakufai. Ndugu zetu wa Kawe naamini mmefikishiwa taarifa na plan za msiba kesho.
1. Mpaka sasa wanahangaika wazike pale makaburi ya luventry
2. Wakitoka hapo wamepanga kusachi na kuingia maduka yote yaliyo karibu na makaburi na wamepanga kurudi Kawe kwa mguu wakifanya fujo na wizi
3. Wamepanga kufanya uhalifu mkubwa upande wa pili baada ya maziko
5. Tunaomba akazikwe makaburi ya E Fm
6. Tunaomba maduka na wafanyabiashara wote wa karibu na makaburi wapewe ulinzi mkubwa wamepanga kufanya fujo kubwa sana siku ya kesho
7. Nilichokiona pale kuna magrupu yametoka Mbagala/Vituka/Tegeta/na wanavuta bangi mpaka sasa
Kama hamuamini, wapo jirani na nyie. Ulizeni msibani kwa Rama, ni bangi kila kona
Tunaomba Jeshi la Polisi tushirikiane kwa pamoja kuondoa hizi fujo na kuwakanya kabisa hao wezi wenzie wasithubutu kugusa vijana wa pale M. Mapya
Tunaamini kabisa kwa ushirikiano tunaosaidiwa na kituo chetu pendwa Kawe basi pia tutasaidiana kuweka ulinzi msibani watu wasidhiruike, wanaotembea karibu ama wenye biashara maeneo anapozikwa.
mtoto mmoja tu kawasumbua kawe muda wote huo na bado amekufa ila bado mko na hofu, wanaume wa dar, wanaume wa dar, wanaume wa dar nimewaita mara tatu, jitafakarini. Akija chalii mmoja tu wa arusha mtahama mkoa kabisa.Ni vyema tusisubiri maafa, tutoe angalizo mapema.
Maziko ni kesho
Ndugu zetu marafiki zetu wa Kawe Polisi, tunatoka msibani kunasikitisha ukiacha majonzi yanayoendelea.
Naamini mmeshapajua hapo msibani karibu na geti dogo la Lugalo. Bajaji kumi kidogo zimeshusha wahuni wanavuta bangi msibani hakufai. Ndugu zetu wa Kawe naamini mmefikishiwa taarifa na plan za msiba kesho.
1. Mpaka sasa wanahangaika wazike pale makaburi ya luventry
2. Wakitoka hapo wamepanga kusachi na kuingia maduka yote yaliyo karibu na makaburi na wamepanga kurudi Kawe kwa mguu wakifanya fujo na wizi
3. Wamepanga kufanya uhalifu mkubwa upande wa pili baada ya maziko
5. Tunaomba akazikwe makaburi ya E Fm
6. Tunaomba maduka na wafanyabiashara wote wa karibu na makaburi wapewe ulinzi mkubwa wamepanga kufanya fujo kubwa sana siku ya kesho
7. Nilichokiona pale kuna magrupu yametoka Mbagala/Vituka/Tegeta/na wanavuta bangi mpaka sasa
Kama hamuamini, wapo jirani na nyie. Ulizeni msibani kwa Rama, ni bangi kila kona
Tunaomba Jeshi la Polisi tushirikiane kwa pamoja kuondoa hizi fujo na kuwakanya kabisa hao wezi wenzie wasithubutu kugusa vijana wa pale M. Mapya
Tunaamini kabisa kwa ushirikiano tunaosaidiwa na kituo chetu pendwa Kawe basi pia tutasaidiana kuweka ulinzi msibani watu wasidhiruike, wanaotembea karibu ama wenye biashara maeneo anapozikwa.
Angeweka hadidu rejea maana sio wote tulisoma hiyo jana. Kuhusu watu kudhani habari maarufu kwake ni the same kwa kila mtu ni tatizo pia.
Hawa Polisi si ndio huwa watu wanawatukana na kuwaita njaa kali? Leo hii wanaombwa kutoa msaada wa ulinzi?Tunaomba Jeshi la Polisi tushirikiane kwa pamoja kuondoa hizi fujo na kuwakanya kabisa hao wezi wenzie wasithubutu kugusa vijana wa pale M. Mapya
Ila mpwa unaniacha hoi kwa kicheko unanifanya nikufananishe na mtu fulani aiseeMsiban wanaimbaaa ameendaa ameenda DON MINYEMBE AMEENDA HATORUDI dah
Wakanikumbusha zile sachi aisee na wamamaa ngeoo walizopewaa dah
Hujawahi ibiwa, juzi walivunja office wakaiba computers karibia zote za jamaa, bahati nzuri wakashikwa, jamaa alishika kichwa anasema asingeweza kununua hizo computers kwa sasa na office isingeweza fanya kazi. lazima kila kitu kiwe wazi mwizi akienda kuiba ajue atakufa.Why? Whyyyy? Whyyyy? Why entertaining mob justice in a country where its citizens boast to be law abiders?
Minyembe is a human being too. He had blood running in his veins just like anyone of us.
Thieves, Robbers, bandits whatever have right to live. No one is guilty until proven in the court of law. Thats why even the president is afraid and hesitant to sign the death sentence to be implemented and enforce due to the weight concerning humans lives valueness.
Those people who killed this robber should be held accountable so that it will be a lesson to others who have this bad ideas and intentions of killing criminals at will without following proper law procedures.
Once again am heartbroken and saddened by the loss of this robber. In such a situation we should practice restraint and let full force of law to take course.
We are all sinners. What happened to this robber is unjustifiable. Its fundamental wrong and totally unacceptable for those mobs to kill this thief because he has a family too now they pass a very difficult time coming to terms to lose their beloved one.
I call to all citizens to be tolerant and restrain when encounteeing such situation dealing with Thieves. They are our brothers too.
Hata hivyo Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa.
Mzingo stroke Magonjwa Mtambuka
Wanaume wa dar mnashangaza,hivi mnatishwa hadi na viwembe kweli na nyie mnakimbia?Huyo Dogo anaitwa Minyembe ,yaani viwembe, alikua hakosi viwembe mfukoni
Thats why even the president is afraid and hesitant to sign the death sentence to be implemented and enforce due to the weight concerning humans lives valueness
Wanaume wa Dar huwa wanaogopa hata teja akiwa na wembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wahuni mbona wanabembelezwa Sana wanafanya watu wasiishi kwa amani.
Kuna uzi wake original labda mods waziunganisheHii ndio shida ya kuleta uzi huku akifikiri wote tunatoka dar/kawe.