Maziko ya Ndugu Minyembe: Polisi Kawe tunaomba ulinzi msibani, vijana wamepanga kufanya fujo

Maziko ya Ndugu Minyembe: Polisi Kawe tunaomba ulinzi msibani, vijana wamepanga kufanya fujo

mtoto mmoja tu kawasumbua kawe muda wote huo na bado amekufa ila bado mko na hofu, wanaume wa dar, wanaume wa dar, wanaume wa dar nimewaita mara tatu, jitafakarini. Akija chalii mmoja tu wa arusha mtahama mkoa kabisa.
Mwanamume WA Dar anaogopa hata kutazama kaburi la Minyembe.
 
Hii taarifa si ya kupuuza kuna muhuni alikwapua maeneo ya kimara wenye walikua washamchoka wakamsubmit kuzimu ,siku ya mazishi yake wahuni kutoka mbagala,chanika,kigambani wengine kutoka chato walitimba kwa dhumuni la kumzika kamanda wao na kutoa somo kwa raia walikua wamejaza mapanga kwenye coaster zao bahati nzuri intelligence ya mtaa ilikua level za KGB good cops walifanya kazi yao ipasavyo wahuni walipigwa home and away
 
Sema,vibaka/wahuni.....hapo kwa wavuta bange......hatuna sifa hizo bwana wee
 
Mkuu tunashukuru kwa taarifa

Lakini bandiko lako hakuna hata kituo? wala nukta?

Au ilikiwa unaandika huku unakimbizwa na hao wahuni waombolezaji?
Nikweli kwa sababu ameandika akiwa ktk hali ya taharuki. Mhuni siyo mtu na kama ni mtu jua ni Mtu-M-Bad.
 
Halafu eti mnawatukana polisi kila siku!!!!!!!

Mmeona umuhimu wao sasa:
 
Back
Top Bottom