Mazinge huna nguvu ya kumpinga Mwamposa, maana nawe unauza mafuta ya upako

Mazinge huna nguvu ya kumpinga Mwamposa, maana nawe unauza mafuta ya upako

Mazinge ana wivu wa kike sana huyu jamaa. Kuna speech yake Moja ana mponda mwamposa eti "Sasa Hivi Kuna mtume wa kinyakyusa anaitwa mwamposa kawauzia watu udogi kijiko buku na kapata milioni900 kajenga hotel hapo mbeya."

Nikajiuliza maswali Inakuwaje mtu wa dhehebu na dini jingine anajua Hadi mapato ya mtu wa dini nyingine kabisa yote hayo Tisa ...kumi Hadi kajua fika kuwa Ile Hela ya udongo kajengea hoteli !?......... Muda wa kufatilia haya yote mazinge alitoa wapi? Yaani mazinge kawazidi hata wanao ununua ule udongo asee!!
Sisi kitambo tulikuwa tunajua anamuonea wivu mwamposa ,na tunaoshiriki mihadhara tulishamuona ana njaa ,alikuwa baada ya mihadhara anatoa Aya za vitisho, anatoa Hadith za Adhabu za kaburi ,

Waislamu wanamchangia pesa

Kwahiyo ilikuwa matter of time tu kuingia kwenye biashara ya huu utapeli
 
Sheikh Mazinge sahivi huna tena nguvu ya kumpinga Mwamposa, maana nawe unauza mafuta ya upako

Kwani Ustadhi Mazinge wewe ni mtani wa Wanyakyusa?

Maana unawaandama Wanyakyusa pamoja na Mwamposa, kila hotuba yako sharti umtaje Mwamposa na Wanyakyusa. Ila hoja zako zinaonesha Waislamu hasa wamama ni wadau wazuri wa mikutano ya Wakristo hasa Mwamposa.

View attachment 3189592
Dr. Sule alianzisha maombi staili ya Mwamposa, mkampinga, tena alipohojiwa kuhusu Mwamposa, akasema anamkubali sana.

Sule nilipomsikiliza alidai kwamba, masheikh wanapaswa kufanya huduma staili hiyo kwa uso wa Uislamu ili Waislamu wasikimbilie kwa Wakristo.

Good idea. Lakini akapigwa vita na Waislamu wenzake akiwemo Mazinge, ambaye alimwita Dr. Sule ni mchawi. Ila baada ya kuona Sule anaongezeka kipesa, naye Mazinge akaungana na ustadhi Firdaus Sharifu ambaye naye kaja na staili kama ya Sule. Hivyo Mazinge kaunga juhudi ya kuuza mafuta na maji ya upako akiwa na boss wake yaani Firdaus. Mazinge ameachana na sheikh Kishiki ambaye anapinga huduma hizo, hivyo amejipatia sintofahamu kutoka kwa Waislamu hasa baada ya kumwona kwenye show ya Mwijaku. Usicheze na njaa. Ila naona amefunga vioo sababu ya pesa za upako. Lakini sijui anamwangaliaje Sule ambaye anazidi kuenea kwa utukufu wa majini. Sahivi yupo Kenya katika acount ya Kakuma akitoa uchawi na mapepo kwa staili ya Kilokole.
View attachment 3189593
Hivyo sheikhe Mazinga sasa hana credibility ya kumpinga Mwamposa, maana naye anaishi kwa staili hizo hizo.

Hivyo aache wivu kwa kuwakataza Waislamu hasa wamama wasiende kwa Mwamposa, yeye amwage upako wa kumzidi Mwamposa ili wasiende huko anapowakataza.

Tutaona mengi
Acha wote waokoke...


..Ni Hayo Tu!!
 
Sisi kitambo tulikuwa tunajua anamuonea wivu mwamposa ,na tunaoshiriki mihadhara tulishamuona ana njaa ,alikuwa baada ya mihadhara anatoa Aya za vitisho, anatoa Hadith za Adhabu za kaburi ,

Waislamu wanamchangia pesa

Kwahiyo ilikuwa matter of time tu kuingia kwenye biashara ya huu utapeli
Mazinge anasema aishafungwa jela kwa kusingiziwa kubomoa bucha la nyama ya nguruwe na pia kuiba mizani ya kupima uzito wa nyama ya nguruwe😄😄
 
Mazinge anasema aishafungwa jela kwa kusingiziwa kubomoa bucha la nyama ya nguruwe na pia kuiba mizani ya kupima uzito wa nyama ya nguruwe😄😄
🤣🤣😀Ni muongo muongo sana
 
Ulichoandika ni kweli

Kwasasa Sheikh MAZINGE na yule anayejiita Sheikh SHARIF ni wauzaji wa maji ya Upako wanaita Dauwah ya kuondoa mikosi, wachawi na majini

Kwahiyo hawana tofauti na Mwamposa
 
Ulichoandika ni kweli

Kwasasa Sheikh MAZINGE na yule anayejiita Sheikh SHARIF ni wauzaji wa maji ya Upako wanaita Dauwah ya kuondoa mikosi, wachawi na majini

Kwahiyo hawana tofauti na Mwamposa
Wamegeuza Dini biashara wamegundua watakufa masikini
 
Back
Top Bottom