Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Antonio de Guzman

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
7,090
Reaction score
13,511
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mimi ni hospital, nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae.

1624014160780.png

 
Nshafanya sehemu hatarishi mara kadhaa, lakini hii hadi nikiikumbuka sijui najionaje,
Nilikua na mahusiano na mdada mmoja hivi mme wake ni mtu mzima kiasi ambae ni boss wangu, sasa walikua jubilee ya miaka kumi ya ndoa yao tukaenda kijijini kwao kusheherekea siku mbili baada ya sherehe mchana na mme wake yupo nje na watu wengine.

Mdada kanipigia simu njoo nyumba kubwa nikaenda akaniambia ana hamu ya kugegedwa nikamwambia tuende wapi sasa akasema hapahapa, nilishtuka kidogo kwa mazingira yaliyokuwepo akaanza kushushq pichu nikasema ngoja nimhudumie fasta, dk tano tayari kishapiz na bado akataka apate cha pili.

Anakuja kupata cha pili tumetumia zaid ya dk 15 akaridhika, lakini wakati wote huo mi akili yangu ilikua kwenye milango ya nyumba kusikiliza kama kuna mtu anakuja, ila nyumba ilikua kubwa sana na ina milango kama minne hivi hadi ufike tulipokua.

Baada ya kutoka pale nilijiona mjinga sana kukubali tufanye kule ndani hata mzee niliona sana aibu kumwangalia.
 
Napiga mashine ndani ya gari sehemu ya wazi siku... Police wa patrol wameizunguka gari yangu wakiwa wananigongea nifungue nikawa siwasikii kabisa, nimekuja kuwasikia fahamu zilipo rudi...... Daah! Sitakuja kusahau.
 
Back
Top Bottom