Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mimi nilimkwichi Binti nikiwa Ngorongoro chini ya Mti kumbe juu kuna LIJOKA likuuubwa na Nyuma yetu kulikuwa na kundi la SIMBA MAJIKE weeengi huku kando kulikuwa na MTO mpaanaaaa ukiwa na wingi wa MAMBA na KIBOKO
 
Nilikwicha maliwato flano hapa town kumbe kuna mchizi alielewa ramani niliyoichora sasa wakati binti anachuma zake mchicha nikaona lijamaa limeoanda linachungulia kwa juu lilinikata stimu ile mbaya ila nikapiga kimoja cha kispot sasa lijamaa likaenda kumwambia mlinzi wakati mlinzi anakuja kucheki nshafanya yangu siku nyingi mlinzi akabaki kutukana tu maana ushahidi hana
 
 

Mimba Kubwa sana hiyo
 
Malipo n hapa hapa

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…