Alfred Paulo Kijangwa
Member
- Nov 3, 2017
- 68
- 67
Amen mkuu nakuombea na wewe uache kuruka ruka mwishowe utakuja kuangukaBasi muombe Mungu wako sana... sikuombei mabaya but swala la mapenzi.... Mmmmmh! Kizunguzungu.
Eeee Mungu mjaalie kaka @kelvinmarcus aguse nyapu hiyo hiyo mpaka watoke mvi au kifo.
Amen
Thanks but hayo ni kabla sijatoka tz...Amen mkuu nakuombea na wewe uache kuruka ruka mwishowe utakuja kuanguka
Iwe hivyo shika sana ulichonachoThanks but hayo ni kabla sijatoka tz...
Huku siziendekezi... natafuta maisha kwa nguvu zote na kutafuta elimu kwa nguvu zote ili nikirudi niwe vizuri. @kelvinmarcus
Ameni kaka @kelvinmarcusIwe hivyo shika sana ulichonacho
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ila kaka @kelvinmarcus inaonekana ukihachwa tu... hatutakuona wala kukusikia tena humu...
Coz hakuna hasiependa kuwa na msichana au mke mmoja but jinsi mapenzi ya siku hizi ya livyo.... Mmmmmh! Yanasababisha mtu unabadilika bila kupenda na kuwa mtu mwengine kabisa na kufanya mambo ya ajabu sana... Amen[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna beach boy humu atusimulie anavyowalaga mabinti baharini
Duuuuh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee anza kusimulia...
Kafanye kazi kwanza mkuu.Leteni story coz huku ndio kwanza asubuhi asubuhi. .. nipo kwa kitanda.
Bado ni saa kumi na mbili za asubuhiKafanye kazi kwanza mkuu.
Mazoez tumanina daaahh hiyo YOGA sio mchezo aiseee ..daaahh
Sasa huko HUPATI MABINT?Thanks but hayo ni kabla sijatoka tz...
Huku siziendekezi... natafuta maisha kwa nguvu zote na kutafuta elimu kwa nguvu zote ili nikirudi niwe vizuri. @kelvinmarcus
Leteni story coz huku ndio kwanza asubuhi asubuhi. .. nipo kwa kitanda.
Mm siyo beach boy..nmruliza kama wapo humu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee anza kusimulia...
WapoSasa huko HUPATI MABINT?
Wapo wengi tu but ukimvimbisha tu mazao utayahacha hukuhuku.Sasa huko HUPATI MABINT?
How?Wapo
Wapo wengi tu but ukimvimbisha tu mazao utayahacha hukuhuku.