Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Me nilikuwa nambandua mfanyakazi wangu ofisini tena muda wa kazi///simu zinasaidia sana,demu alikuwa anatangulia chumba cha show na ana hakikisha kwenye korido hamna mtu aliyemwona akiingia kwenye chumba na akiwa humo ndani anavuta kama dakika 5 then ananipigia cm kuwa njoo ila hakikisha kwenye korido kweupe,kile chumba wafanyakazi walikuwa hawaruhusiwi kuingia bila ruhusa ya mimi boss,yule demu nilimpaga ufunguo wa akiba.Tukibanduana kila mmoja anatoka kivyake na hiyo tumefanya miaka kama 6 bila wafanyakazi kujua aisee,namshukuru sana mzungu kwa kuleta hizi simu jamani !haaaaaaahaaaa
 
Duh!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakemea watu wa ushahuri nasaha waliounda kakiundi haramu ndani ya huu uzi kwa lengo la kuuchafua na kutishia kuharibu ladha yake halisi. Niwaonye tu kuwa kakikundi hako hakatambuliki kisheria.

cc. PROF NDUMILAKUWILI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]G Sam G Sam waambie hao
 
Ninejikuta nacheka kwa sauti halafu ni usiku wa saa 7 kasoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…