Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Pichu huwa haishushwi,unaipenyua tu pembeni unazamisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndani ya hospital wife alipelekwa faster apumzike maana ana presha ya kushuka so ile kapata nafuu anabadili nguo tusepe nikapiga nae cha faster mpaka leo akipita kwa hiyo hospital anacheka mno
Wewe mtu makini sana.Unapiga vya kwako mitaa amazing.Bravo sana.Hizo ndio patterns zinazoongeza mapenzi kwa wanandoa.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Choo cha ukumbi wa harusi, choo cha club, darasani, mtoni, na sehemu nyingine nimesahau ila now nimezeeka niameacha huo ujinga, zaman kidogo ilikuwa kikinibana tu kipururu binti akikubali napiga mazingira yoyote mradi nione hamna uwepo wa binadamu.

Hilo la kutokuwepo uwepo wa binadamu ndo la muhimu...

Yangu niliyoyatend namwachia holly spirit...nitayasema on judgement day...
 

Wewe ni baba lao...wangekukamata wangekukula tigo..e
 
Salute wewe wa kumpiga mzee mwenye nyumba exile...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Safi sana...hamna kuuza mechi kabisa....
 

Kwahiyo ulipiga mtungo na babu yako...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Ndo maana ATM huwa zinazingua...kumbe nyie ndezi ndio visababishi
 
Mz

Mzee wa kupiga kidukuu...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Just imagine unarekodiwa ukiwa unapiga makasia...nadhani utajikuta unacheka kwa aibu....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…