The Masterpiece
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 562
- 1,544
Hii chai tupu na hivi sukari bei juu basi hainyweki kabisa.Kanisani. Iko hivi.
Kuna dogo mmoja namla ila nilimla mara ya kwanza mwaka jana mara ya kwanza alipokuja likizo na nilimla kwa kumbananisha sana maana kwao geti kali balaa. Sasa wamefunga yuko nyumbani ila haruhisiwi kutoka kwa sababu yoyote ile. Mzee wake anasema hii corona hataki kuona pua ya mtoto nje.
Juzi pasaka akaniambia hana nafasi na hawezi kutoka kwao kwa namna yoyote isipokua kwenye mkesha wa pasaka. Pale wakati wa ibada anaweza kutoka mara moja hivyo kama naweza niende hadi kanisani nipaki gari kwenye parking atakuja akiwaacha ndugu wakiendelea na ibada nimtafunie pale pale parking.
Kweli nikaenda hadi kweye parking magari yalikua mengi na pilika pilika zilikua nyingi hivyo hakuna aliekua anajua kinachoendelea.
Mtoto akaja kwenye gari nikamtafuna 2 vya fasta akarudi kuendelea na ibada mimi nikatoka kurudi home, kabla sijafika home akaniambia amewaseti wadogo zake kua baada ya ibada kuu anaenda kusali novena na rafiki zake hivyo watangulie wafiki zake watampeleka nyumbani. Akaniambia kama sijafika mbali nirudi.
Nimerudi nikamsubiri nje ya geti la kanisani tukaenda hadi karibu na kwao kuna sehemu kuna kagiza giza kuna mitimiti nikapaki pale gari nikamtafuna tena viwili huku baba yake anapiga simu kama amerogwa, ikikata ya baba inaita ya mama maaa madogo wamerudi sister hayumo kwenye gari.
Baadae akawapigia kua alikua ameweka simu silent alikua anasali novena ndio anatoka yuko na class mates wake wanamrudisha nyumbani. Mzee akashusha presha.
Yale mazingira ya kanisani yalikua hatari ila nilijikaza hakuna namna.
Yule mtoto ni mtamu mileage ndogo sana hata akiniambia niruke ukuta wao wa umeme niingie ndani kumtafuna naruka bila kipingamizi.
Au Modds mnasemaje?