Daaah,hatari sana aisee hata kukumbuka sitaki,ilikuwa way back kama miaka 10 iliyopita hv huko moro,nilipata mzigo fulani hivi amazing kiaina,halafu nikapata mzuka wa kumgonga siku hiyo hiyo,msela nikamwimbishaa,demu imooo,akazielewa swaga zangu,basi kwa kuwa ilikuwa jioni jioni kigiza kilikuwa kishaingia,nikamshawishi nimgongee kwenye shamba la mahindi lililoshona vizuri,akajifanya kama anakaza kumbe na yeye tayari alishakolea,nikaanza kumshughulikia,basi ile wazungu wanakaribia kuja tu,naona kwa mbali kitu cheusi kikija uelekeo nilipokuwa namgongea yule dem,kucheki vizuri kumbe kitu cha snake,weeeeee,asikwambie mtu genye zote zilikata nilikurupuka bila hata kuvaa suruali,sijui hadi leo kilichomkuta yule dem,sijui kama aligongwa na yule nyoka au laa,sirudiiii tena mchezo ule aisee