Wacha tu niongee kupunguza materials mwilini maana nina materials mbalimbali yakikaa sana kichwani bila kuyatoa unaweza ukadataHata usihangaike kueleza mkuu ujue kuna watu huwa wanajitoa akili sana basi tu
Wakaona tunafaidii sanaa... Huu mbona kama hawauoni..!!Kama vipi tuufufueni uzii huu kufidia ule uzi pendwa
Wamezingua sana wakati hata wao huko fb waliupa promo baadaye wajifanye kuufungaWakaona tunafaidii sanaa... Huu mbona kama hawauoni..!!
Watakupiga ban ya muda usiyojulikanaHivi hatuwezi kuprotest uzi pendwa urudishwe?
Wakaona tunafaidii sanaa... Huu mbona kama hawauoni..!!
Watakupiga ban ya muda usiyojulikana
Uhuru wa maoni upo kabla hujayatoa, ila ukiyatoa uhuru haupoHii ndio maana halisi ya udikteta sasa.
Uhuru wa maoni upo kabla hujayatoa, ila ukiyatoa uhuru haupo
Au kuna mdau alumchapia Mod hakutumia codeSijaona shida ya ule uzi kabisa.
Watu walikuwa wanatumia tafsida nk.
Hata hivyo comments zinazokiuka maadili walikuwa wanazifuta. Sijui walikwama wapi.
Au kuna mdau alumchapia Mod hakutumia code
Hule Uzi wako maarufu siuoni sikuWakaona tunafaidii sanaa... Huu mbona kama hawauoni..!!
Ule uzi walipigwa ban wengi sana alianza Rais MagufuliHa ha ha labda. Rikiboy mwenyewe aliwahi kula Ban wakati uzi uko hot.
Hii comment niliandika JumaUle uzi walipigwa ban wengi sana alianza Rais Magufuli