yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
HatariNakumbuka ilikuwa Tanga nilienda kwenye mishe zangu usiku nikatoka nikaenda club nikatoka nje nikakutana na changu mmoja mzuri balaa tukaelewana bei akanipeleka kwenye uwanja flan hiv wa public yani pembeni magari yanapita Mimi nachakata mbususu nilishindwa kumaliza nikamuachia.
Ulishindwa kumaliza kivipi ndugu?Nakumbuka ilikuwa Tanga nilienda kwenye mishe zangu usiku nikatoka nikaenda club nikatoka nje nikakutana na changu mmoja mzuri balaa tukaelewana bei akanipeleka kwenye uwanja flan hiv wa public yani pembeni magari yanapita Mimi nachakata mbususu nilishindwa kumaliza nikamuachia.
Sikupiga bao kwa sababu ya wasi wasi pale ni barabarani watu wanapita ila kiraru nilichotoka nacho club ndio kilinisababishia nikakubali ujinga kama uleUlishindwa kumaliza kivipi ndugu?
Nadhani video yako tungeikuta kwenye websiteSikupiga bao kwa sababu ya wasi wasi pale ni barabarani watu wanapita ila kiraru nilichotoka nacho club ndio kilinisababishia nikakubali ujinga kama ule
mshenga katika ubora wakeMie kwenye gate la pale Mtaa wa Magogoni kuingia kwa mheshimiwa
DUHAisee hakuna mapenzi matamu kama ya vichakani,chini ya mti,kwenye majengo mabovu,pembezoni mwa beach[emoji7] sasa nyie kila siku chumbani chumbani tu kaaa
Popote mkipata chance mpo wenyewe pata kitu
Humu Kuna jamaa alisema alikula tunda juu ya nguzo ya umem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ikawaje si wanatia nuksi kanisa hawa watu mbona vitu vya ajabu sana.Wiki iliyopita kuna majirani zangu walifumaniwa wanakulana pembeni ya kanisa na hapo mmoja mke wa mtu mwingine mme wa mtu varangati lake sio poa
Mmoja ya hao walio kamatwa babake ndo aliwagaia icho kiwanja cha kanisa na vimepakana sijasikia kilichoendelea zaidi ya watu kukesha wakitukanana tuSasa ikawaje si wanatia nuksi kanisa hawa watu mbona vitu vya ajabu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan watu wananyanduana mpk kwenye kanisa hii hatari sana ndio mana kanisa linakosa baraka utakuta mchungaji anakuombea mpk unajikuta maombezi yanakuwa kama ngonjeraMmoja ya hao walio kamatwa babake ndo aliwagaia icho kiwanja cha kanisa na vimepakana sijasikia kilichoendelea zaidi ya watu kukesha wakitukanana tu
Dunia hii imeisha kuna mama mmoja ni mke wa mchungaji hanywi pombe wala nini ila mambo anayofanya ni ngumu kumeza ninauakika sababu nishaingia kwenye 18 zake nashukuru sikufanya kitu nani kwasababu ya uoga tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan watu wananyanduana mpk kwenye kanisa hii hatari sana ndio mana kanisa linakosa baraka utakuta mchungaji anakuombea mpk unajikuta maombezi yanakuwa kama ngonjera
Nmewahi fanya mapenz kwenye bus la abiria usiku bus likiwa linatembea.
Ilkua 2008,
Bus la MOHAMED CLASSIC, Safar ya Bukoba-ARUSHA