Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Duh!!!
 
Siku moja nilimuita demu wangu kanikuta bar. Sikutaka kumpeleka kokote zaidi ya kupata story tu ili zinogeshe mvinyu yangu ingawa yeye alikuja amejiandaa. Story ziliponoga na giza limekolea plus bia tukajikuta tunashikanashikana hadi genye zikazidi, alivua pichu kitu kikazama hapohapo kukiwa na mwanga hafifu. Tulishtuka tunashikwa mabega na mtu tusiyemjua sisi hatuna habari. Wala hata gemu hatukumaliza duh!!!
 
Sikia TUZO NI HUU UZI NAKUPA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaa itakuwa jamaa show ilikuwa noma sanaa..
 
Ujengewe sanamu kwa gharama yangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii n kali kuliko lol.
 
Mambo ya 3some[emoji23][emoji23]
 
Sitasahau niliwahi kumbandua mke wa pastor usiku nilipokuwa namrudisha home kutoka kwenye mkesha daa alikuwa dada flan hivi mkali Sana mnyaturu mpole Sana lakini,,hata sijui Nini kilitokea tukajikuta tumegaragazana kwenye makochi na pastor yupo church,,ile mashine ilikuwa tamu mnooooo,,dada akawa ananipa Kila staili kuanzia hapo hakutaka kukaa mbali na mm nikaona isiwe shida nikahama kanisa Ila daa mpaka leo natamani nionane nae Tena yule jamaa anafaidi sana
 
Ni pm jina la kanisa nianze kwenda kuabudu hapo meku
 
Mpande nilikutana nae kwenye 1988(mwaka themanini na nane) pale Moshi Tech japo mimi sikuawahi kusoma hiyo shule
mwaka 1988 ulikutana moshi tech hapo hata baba yangu alikuwa hajawaza kukutana na mama mother alikuwa la sita huo mwaka. maisha ni mzunguko leo hii nipo moshi tech leo nimetoka kuchapa viboko vingi vya character assesment kwa vijana wanaokulana kimasihara katika mazingira hatarishi🤨🤨
 
Yale mashamba ya mahindi yaliyoizunguuka shule bado yapo? Nahisi humo ndipo hao vijana wetu unaowacharaza viboko wanapofanyia masihara yao🤣🤣🤣
 
2013 natoka Dar naenda Moro nilipanda basi la kampuni x mida ya jioni saa kumi na mbili , safari ikaanza ndani ya gari nilikaa siti ya nyuma kabisa na tulipofika mlandizi akapanda pisi moja hivi nilikuwa naifahamu so alikuja kukaa nyuma na nikamsalimia na akakaa karibu , tulipofika mikese kumbe kule nyuma kulikuwa na watu wanaenda msibani zaidi ya 20 hivi so tukabaki peke yetu .Kilichofuata Mungu anisamehe tu yaani kabla ya kufika nanenane kielekwa msamvu nikafanya yangu ndani ya basi .
 
Yale mashamba ya mahindi yaliyoizunguuka shule bado yapo? Nahisi humo ndipo hao vijana wetu unaowacharaza viboko wanapofanyia masihara yao🤣🤣🤣
yapo vile vile japo ni openi sana hawawezi kunyanduana mule so vina bananishana prepo nakwenye studying chamber tu vitoto nyoko sana ila vizurii jela hii hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…