Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Dah kweli hapa shida, nakumbuka kuna siku nilipata msala fulani hivi sasa nikawa kituo cha polisi usiku nasubiri dhamana. Akaja askari wa zamu usiku akiwemo mwanadada ambaye tulisoma naye. Basi usiku kila mara naitwa kuhojiwa kumbe nilikuwa namla yule afande ofisi dah asbh akanitoa mwenyewe
 
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji87]
 
kweli kuwa uyaone
 
lol!! umenkmbsh mbal xn mzee hy block L nlkua nalala xn huko
 
Naona unaitendea haki jando
 
Akili za abdalah kichwa wazi ni za ajabu
 
Ilikuwa mida ya saa ngap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…