Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Elimu yangu shule flani ya seminary Tanga niliisoma kwa miez tisa tuu, Tuliendaga shule flan ya girls tuu, inaitwa kifungiro, kwenye TYCs nikakutwa na katoto flan hiv ka shule nyinge iliyokua imekuja pale inaitwa Mazinde juu. Akili za kitoto Na nyege chin ya maua na mchana kweupee tukagegedana, Fumba fumbua mwl huyu hapaa, demu akakimbia sbb yy huyu mwl hamjui, Nikaitwa wakaniambia msamaha wang ilikua Nimtaje demu ili tupewe suspenssion Nikagoma kbsaa, Nilijiongeza tuu, kwa shule ya masista vs shule ya mapadri Msamaha wa namna hio sahau. kwaio nilijua tuu sina shule, sikutaka ku mrisk dem wa watu. Basi tukarud shule kesho yake Nikaitwa Nikapewa barua ya kwaheri, Nilichokipata nyumbn n sir yangu na sitosahau.
bahat nzur Kuna Walimu walinionea huruma, wakaniombea niondoke km mtu anayehama shule. Soo nikataftiwa shule nyingne. Nilikua mtiifu kama zuzu(kuachana na hili, nilikua msumbufu snaa), hakuna aliekua ananifahamu akaamini nilivyotulia, finaly mpk nikapewa u HB, na siku ya kumaliza zawad full, Demu tulipotezana kbsaa, cha kushangaza fumba fumbua tukakutana chuo kmoja, guess what.......
walimu walioniteteaga mpk leo ni marafk zangu sanaa.
 
Ile likizo ya Std 7 mbaya sana, rafiki yangu alikuwa alikuwa anatindua beki 3 kila siku, ile ameenda boarding huku nyuma beki 3 mimba inaanza kuonekana. Dingi yake noma alimfuata boarding Songea na kipigo kibaya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole xana mseminary!
 
Unanikumbusha zile ngazi za hall hilo
 
Niliwahi kugonga demu mpwapwa TTC nyuma ya pori kule chuo cha ualimu karibu na mashine ya kusaga miaka ya tisini demu Wangu akang'atwa na nge kwasasa ni mkuu wa nanihiii wilaya ya nanihii kaolewa na nanihii na watoto wake ni nanihii nabnanihii
Duuu kumbe Mimi nilijitesa kumpeleka mpka uwanja wa mpira, Kama unaenda secondary
 


Ha ha ha a a a Hii kali
 
Yaani haka kauzi kila siku ni lazima nikatafute.
Huwa kanipa rahaa sana.
Afu mleta huu Uzi aliuanzisha kimasikhara sana.
Yaani hata mimi nakatafutaga kila siku ili kuona majanga yapi wadau wametoa.

Yaani dah nachekaga sana kwa kweli.
 
Reactions: SDG
Nikiwa form four bhana nilikuwa naishi kwa headmaster. Shule ya day nikapanga na dem wa f2 sasa ishu ni wapi tutafanya na yeye anakaa kwa mwl wa kike ukuda ukuda. Siku hiyo mkuu kaniaga anaenda bongo kufuata vifaa vya maabara na chemicals ilikuwa ni safari ya wk nzima. Afu mkuu ananiamini ile mbaya. Matumizi ya pale home mm ananiachia coz yeye familia iko mbali so tuko mimi yeye na kijana wake wa darasa la 5 na beki 3. Basi siku ya pili nikachonga na kiranja wa zamu wakati anapanga wanafunzi wa kuja kuchota home amweke na Imani. Ikawa hivyo sasa ile geto ina vyumba 3. Master ya mzee nyingine ya beki 3 afu nyingine ya mm na dogo. Kuchungulia ndani namkuta dogo kalala anaumwa kichwa. Nikambembeleza dogo apishe akalale kwa beki 3 dogo kagoma. Nikaona isiwe taabu mzee si kaniachia funguo zake acha nipige kwake. Basi nikaingia na mgegedo wangu kwa dingi saa tisa mchana mzee. Nikapiga za fasta 2. Ndo kwanza dushe liko wima. Ile napanda mzee hamad mzee nasikia sauti ya mzee sebuleni. Demu kapanic. Nikamwambia tulia chumbani kuna meza ya kusomea tukaa mezani mzee nikaanza kukata pindi. Mara mzee huyu hapa. Kuangalia watu tunakata nondo ya physics. Kaauliza kwa mnasomea huku nikamwambia sebuleni beki 3 anasumbua. Akasema poa. Kanyooka zake mtaani huyo mpk wa leo hajagundua. Nikimwangaliaga yule headmaster anavoniamini Mungu wangu sijui ningefanyaje afu yeye ndo ananilipia ada baada ya mzazi wangu kushindwa. Dahh
 
Nilishawahi kupiga show na housegirl maeneo ya upanga kwa kigogo mmoja wa serikalini (enzi hizo za 2005) kgogo na mkewe wakiwa wamelala mi nikavaa soski nikanyata mpaka chumbani kwa housegirl tukaenda toilet nikamtia juu ya sink la kupigia mswaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…