Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Ha ha ha ha haaa, uzi wako unanikumbusha wa ikinyunyi na Bibi Yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ile likizo ya Std 7 mbaya sana, rafiki yangu alikuwa alikuwa anatindua beki 3 kila siku, ile ameenda boarding huku nyuma beki 3 mimba inaanza kuonekana. Dingi yake noma alimfuata boarding Songea na kipigo kibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halaf kupitia uzi huu nimegundua MADINGI wakigundua UNATABIA YA KUGEGEDA wanakupa KIBANO MATATA SANA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi kila comment inachekesha sana.
BORA NIKO PEKE YANGU hapa
 
MmH. Niliwahi kutiwaga enzi hizo nyuma ya kijumba kibovu bovu hivi,mshikaji wangu alitaka tuzame ndani kwa woga nikakataa. Tukamaliza nje,lakini wakati tunatafuta cha 3 s Ndio tukasikia kwacha kwacha ikabidi tuache tujikaushe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akapita kijana wa jirani kwetu halafu anatufahamu sote mimi na jamaa yangu. Aisee nilijiskia aibu zaidi alivyotusalimia kwa kututaja majina,jamaa angu akamwambia acha uboya dogo pita nilicheka sana
 
 
Hivi ukiwa kwenye 4-star au 5-star hotel halafu willfully ukafanya mapenzi na mtu ambaye ni medically confirmed HIV+, bila kinga yoyote, ni kitendo kinachoingia kwenye kundi la kufanya mapenzi katika mazingira hatari au la?
 

Nakujua wew,,, ushawahi nisimulia icho kistory chako
 
Niliwahi kufanya mapenzi na dem mmoja, maeneo flani hv pembezoni ya barabara kwenye jengo ambalo lilikuwa linaendelea na ujenzi, sasa kwa bahati mbaya miguno ya yule binti ilikuwa ya sauti ya juu sana, then difenda za polisi zilikuwa haziishi kuzungukia maeneo yale, kwa bahati mbaya zaidi si polisi waliingia kwenye lile jengo baada ya kusikia sauti, tulikurupuka na kwenda kuingia kwenye shimo ambalo ndani yake mlikuwa na mawe, polisi wakapita pembezoni yake hawakutuona.
Miili yetu ilichanika chanika sababu ya mawe na kugegedana kukaishia hapo, "siisahau ile"
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nafwazzzz
 
Ha ha haa[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo nahisi dushe lilinywea na kuwa kama penseli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…